Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,204
- 42,063
Mteja wangu kama kuna usumbufu niambie nianze kazi yangu!
mhmhmhmhmhmhm. . . .
yan mshaanza kupigiana co?
mhmhmhmhmhmhm. . . .
yan mshaanza kupigiana co?
Heheheheeee ila gfsonwin naona Kaizer atatumaliza Blaki Womani
.....na wote wanataka hifadhi,
Kasoro mimi tu. Muke halali ya Loya!
hehehehehehe makubwa haya!!! we C6 shaurilo kama unataka kukaushwa damu bila ugonjwa na charminglady! nways miss u too my dear, actually twins wanakumiss zaidi, uje tena! lolcacico hahaha leo nimekuota, siku nzima nakuwaza, nikasema nikimaliza kazi ntakupigia jioni, uko poa lakini?
We Blaki Womani, kwani chinga chio nntu!? bhaah!!!!
Madame B umeona ninavyopendwa na kulindwa kama yai mwanangu lolumenena vema my dada @Blaki Woman , bora umempa tahadhari, lol!
Blaki Womani, hebu pendekeza jina plz, naona hili lawachanganya watu, lol!na ninawaheshimu sana .......nazungumzia jina la cacico
ndoa ya mkeka inamwaliko
hapo chawa nlitaka nije na nchale wangu alionipa njomba angu chikurubu, ni aje nnjima wewe!?
Fata hiyo protokali likini kumbuka yaliyompata kamanda sharobaro watu hawayapendi yawatokee kabisa!