Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,121
- 143,559
Joe Biden huwa ananifurahisha sana.
Jamaa ni kama mchizi flani hivi.
Hebu ona hilo kumbatio...Hillary kwa kutumia lugha ya mwili anasema kabisa 'Joe imetosha, niachie basi'...
Lakini Joe bado kang'ang'ania tu.
Hahahaaaa creepy old man.
Jamaa ni kama mchizi flani hivi.
Hebu ona hilo kumbatio...Hillary kwa kutumia lugha ya mwili anasema kabisa 'Joe imetosha, niachie basi'...
Lakini Joe bado kang'ang'ania tu.
Hahahaaaa creepy old man.