Kumbatio la Joe Biden kwa Hillary

Kumbatio la Joe Biden kwa Hillary

Na ni kweli.

Ndo maana watu wanaosema eti Trump atafukuza wahamiaji wote [jambo ambalo si kweli na hajawahi kulisema] huwa nawahoji kama wanajua jinsi Marekani inavyotawaliwa.

Rais wa Marekani hana nguvu kivile.
Obama mwenyewe aliwahi kukiri kuwa endopo akivunja katiba ya Marekani akamtaja askari alisimama nyuma(sio kwajina) yake kuwa bila kupoteza muda atakuwa wakwanza kumkamata,na alikiri kuwa hakuna kitu anacho heshimu kama katiba ya marekani kila jambo analoamua lazima ajishauri kama hakiuki katiba..!!lakini leo kwetu kuna mambumbumbu ya furahia raiasi kuwa juu ya sheria na katiba ambazo bado pia nikandamizi
 
Alinifurahisha mno alipowajibu waturuki mbele ya Rais wao
kuwa Obama hana mamlaka ya kuamuru kum deport yeyote
hayo masuala ni supreme court ndio inaamua......

nilitamani Magufuli angejifunza kitu hapo
Yap the BOSS Niliipenda sana hotuba ya Joe Biden aliyoitoa Uturuki. Alizima kelele za Uturuki.
 
Joe Biden huwa ananifurahisha sana.

Jamaa ni kama mchizi flani hivi.

Hebu ona hilo kumbatio...Hillary kwa kutumia lugha ya mwili anasema kabisa 'Joe imetosha, niachie basi'...

Lakini Joe bado kang'ang'ania tu.

Hahahaaaa creepy old man.


Huyu Mzee nampendaga sana, nilitamani kumuona akigombea Urais, ila nafikiri kifo cha Beau Kilimdhoofisha sana.
 
hivi huyu dingi hanaga mke,hapa bongo tabia zake na mfananisha na bwana JK
jk.jpg
Raisikikwete.jpg
 
Alinifurahisha mno alipowajibu waturuki mbele ya Rais wao
kuwa Obama hana mamlaka ya kuamuru kum deport yeyote
hayo masuala ni supreme court ndio inaamua......

nilitamani Magufuli angejifunza kitu hapo
Natamani kujua Sonoma ya waturuki imeisha wapi
 
Na ni kweli.

Ndo maana watu wanaosema eti Trump atafukuza wahamiaji wote [jambo ambalo si kweli na hajawahi kulisema] huwa nawahoji kama wanajua jinsi Marekani inavyotawaliwa.

Rais wa Marekani hana nguvu kivile.
nashukuru sana mkuu kwa kiliona hili, structure ya taifa la marekani halimpi nguvu sana raisi nikiwa nam maana udikteta kamwe hauwezi kuwepo wala hawezi kusalia madarakani mda mrefu maana wamarekani watamtimua tuu. rais wa marekan anaweza kuwa na kiburi awapo nje ya marekani sababu analitambulisha taifa so ana full sapot ya taifa lakin akiwa nyumbani hawezi kuwa na kiburi, yupo on behalf of citizen tofauti na serikali nyingi za africa
 
Hahahahaaa hii ilikuwa mapokezi ya kikazi sio...? Ingekuwaje Clinton angekuwepo hapo.... labda angechukulia kama utani au labda angekasirika kwa kuonesha wivu hahahahah. Maana huyo Joe alishikilia maeneo ya pembeni mwa matiti..... panakuwaga na joto joto tamu hapo...... yawezekana madam alikuwa kwenye heat matokeo yake Joe akawa hataki kuliachia lile joto joto. ....

Kasie.
nashindwa kutambua wewe ni mwanamke wa aina gani? kwa hiyo waweza mmezea mate mwanamke mwenzio.
 
Kwenye Katiba yetu kuna tatizo,Rais anapewa mamlaka sana na wakati mwingine anavunja katiba kwa kutofata sheria anataka neno lake liwe sheria hiyo haiwezi kubalika na wanasheria wetu wapo kimya hawakemei hii kitu.
 
Unajua shida yetu kubwa ni elimu, Tunatawaliwa tu na kukubali yaishe maana tukihoji hatuna wa kututetea. Tungekuwa na watu angalau million 30 wenye uelewa nchi yetu ingekuwa mbali. CCM wamedumaza elimu na tusitegemee maendeleo bila elimu. Aliyesema elimu elimu elimu alikuwa na maana yake. Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wangu wote.
 
nashindwa kutambua wewe ni mwanamke wa aina gani? kwa hiyo waweza mmezea mate mwanamke mwenzio.

Na itakuchukua miaka 1000 mingine kupata utambuzi kuwa kasie ni mwanamke wa aina gani

Hadi wakati huo....

Ciao!!
 
Na itakuchukua miaka 1000 mingine kupata utambuzi kuwa kasie ni mwanamke wa aina gani

Hadi wakati huo....

Ciao!!
simple and clear we una homoni za kiume. yani baada ya kuuota mboro unaota mawezele na mavituzi ya wanaweke wenzio?? nyooo kwanza we utakua msagaji sio bure ntoke hapa
 
Wote wawili moto umeshazima yamebaki majivu.
 
simple and clear we una homoni za kiume. yani baada ya kuuota mboro unaota mawezele na mavituzi ya wanaweke wenzio?? nyooo kwanza we utakua msagaji sio bure ntoke hapa

Kwa kuwa wewe ndo ulinipulizia pumzi ya uhai endelea kuwaza na kufikiri hivohivo ...... poleeee
 
Pole ya nini kwnza kwani ugomvi? nimesema wewe sio mwanamke wa kawaida kwaheri

Nami nimekujibu. ... kama wewe ndo ulinipulizia pumzi ya uhai endelea kufahamu na kutambua hivohivo......

Wenzio wakiaga huwa hawarudi wanaondoka kimoja..... jipange upya.
 
Duuh! hivi JPM kawakosea nini yaan mtoa mada alikuwa anaongelea kuhusu hug nyie mmekimbilia kumsema Magufuli mada ambayo imeletwa na The Boss
 
Kuna watu wanajua kupenda yaan hilo hug Bibie kafichwa kabisa kwenye kifua cha mwanaume
 
Back
Top Bottom