Nipo, nipo mzee babaLong time no see you.... Kibovu kinapokuwa na thamani kuliko kizima![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Damu ya Yesu inabomoa, inaharibu, inafuta maagano na nguvu zote za kishirikina. Ila uwe umepata neema na rehema za jinsi ya kuitumia especially kwa walokole was ukweli sio walokole feki. OKOKA!Yai viza ni kitu kisichofaa kimekufa kinanuka hakina uhai...yai viza hutumiwa sana na wachawi wenye roho mbaya kuharibu maisha ya mtu..ni mojawapo wapo ya uchawi mbaya kabisa kulogewa nao.
Mara nyingi hunuizua maneno kama haya ....kama hili yai lisivyo na uhai ....kama hili yai lisivyo na faida...kama hili yai linavyonuka...
Kisha baada ya manuizi hayo hupasuliwa njia panda ili litawanyike pande nane za uso wa dunia ili kila utakapoenda utakalofanya lisifanikiwe na uchukiwe na kukimbiwa na kila mtu....hata ulikuwa una mafanikio kiasi gani ghafla hujikuta unaanguka na nuksi balaa na mikosi kukuandama
NB: Sifundishi uchawi bali najaribu kuelezea ubaya wa kitu fulani kama hiki ili siku ikitokea kuna mtu kakuudhi usimfanyie jambo baya kama hili bali mwachie Mungu kwakuwa yeye ndio mwamuzi wa haki.
Na wewe kama kuna mtu kajaribu kukufanyia hivi Usijaribu kwenda kwa waganga wa kienyeji kwakuwa huko unaenda kutafuta balaa zaidi la viapo na maagano ambavyo unaweza kuja kushindwa kuvitengua.
Mwachie Mungu kwakuwa hata juju liweje huwa lina kikomo cha kuishi na kufanya kazi expire date.
Aaamen...! Lakini tunaokolewa kwa Neema tu... Si kwa ujanja wetu ama umahiri wetuDamu ya Yesu inabomoa, inaharibu, inafuta maagano na nguvu zote za kishirikina. Ila uwe umepata neema na rehema za jinsi ya kuitumia especially kwa walokole was ukweli sio walokole feki. OKOKA!
Sent using Jamii Forums mobile app

Huwa najiuliza kwanini wachawi,walozi,wanga wana exist na kufanya maovu kutesa na kuumiza,kuua wengine,kwanini sir god anawaangalia tu?Yai viza ni kitu kisichofaa kimekufa kinanuka hakina uhai...yai viza hutumiwa sana na wachawi wenye roho mbaya kuharibu maisha ya mtu..ni mojawapo wapo ya uchawi mbaya kabisa kulogewa nao.
Mara nyingi hunuizua maneno kama haya ....kama hili yai lisivyo na uhai ....kama hili yai lisivyo na faida...kama hili yai linavyonuka...
Kisha baada ya manuizi hayo hupasuliwa njia panda ili litawanyike pande nane za uso wa dunia ili kila utakapoenda utakalofanya lisifanikiwe na uchukiwe na kukimbiwa na kila mtu....hata ulikuwa una mafanikio kiasi gani ghafla hujikuta unaanguka na nuksi balaa na mikosi kukuandama
NB: Sifundishi uchawi bali najaribu kuelezea ubaya wa kitu fulani kama hiki ili siku ikitokea kuna mtu kakuudhi usimfanyie jambo baya kama hili bali mwachie Mungu kwakuwa yeye ndio mwamuzi wa haki.
Na wewe kama kuna mtu kajaribu kukufanyia hivi Usijaribu kwenda kwa waganga wa kienyeji kwakuwa huko unaenda kutafuta balaa zaidi la viapo na maagano ambavyo unaweza kuja kushindwa kuvitengua.
Mwachie Mungu kwakuwa hata juju liweje huwa lina kikomo cha kuishi na kufanya kazi expire date.
Ngoja nitakujibu kwa kutuliaKaka mshana naomba unipe tofauti ya magic na super natural powers ntafurah zaidi nikipata na mfano.........
Pia ipi inanguvu kubwa katika upande wa madhara......na levels?
Sent using Jamii Forums mobile app

Wema hawana maishaHuwa najiuliza kwanini wachawi,walozi,wanga wana exist na kufanya maovu kutesa na kuumiza,kuua wengine,kwanini sir god anawaangalia tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
