Eeh bana, naomba nijue; kuna mtu waganga wamekuja kwa shangazi yake anakoishi wameloga weee, kisha wakampa mayai viza akayafukie nyuma ya nyumba. Hii ikoje na ina maana gani?
Haya Mambo hatari Sana. Kuna wakati nililima vitunguu saum, wakati wa kupalilia, tulifukua mayai viza, wenyeji walivyoona wakaniambia tumefukua mayai viza. Sikuchukulia serious Sana, cha kushangaza walinishangaa mimi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.