Kulogea/kulogewa yai viza

Kulogea/kulogewa yai viza

Sorry to say this lakini kuna wanawake wamelogewa kunuka uchi, hapa kilichotumika kutengeneza huo uchawi ni yai viza


Aisee! Sasa dawa ya hii itakuwa ni nini? Si nikumuharibia bure future yake mdada wa watu jamani?
 
Yai viza ni kitu kisichofaa kimekufa kinanuka hakina uhai...yai viza hutumiwa sana na wachawi wenye roho mbaya kuharibu maisha ya mtu..ni mojawapo wapo ya uchawi mbaya kabisa kulogewa nao.

Mara nyingi hunuizua maneno kama haya ....kama hili yai lisivyo na uhai ....kama hili yai lisivyo na faida...kama hili yai linavyonuka...

Kisha baada ya manuizi hayo hupasuliwa njia panda ili litawanyike pande nane za uso wa dunia ili kila utakapoenda utakalofanya lisifanikiwe na uchukiwe na kukimbiwa na kila mtu....hata ulikuwa una mafanikio kiasi gani ghafla hujikuta unaanguka na nuksi balaa na mikosi kukuandama

NB: Sifundishi uchawi bali najaribu kuelezea ubaya wa kitu fulani kama hiki ili siku ikitokea kuna mtu kakuudhi usimfanyie jambo baya kama hili bali mwachie Mungu kwakuwa yeye ndio mwamuzi wa haki.

Na wewe kama kuna mtu kajaribu kukufanyia hivi Usijaribu kwenda kwa waganga wa kienyeji kwakuwa huko unaenda kutafuta balaa zaidi la viapo na maagano ambavyo unaweza kuja kushindwa kuvitengua.

Mwachie Mungu kwakuwa hata juju liweje huwa lina kikomo cha kuishi na kufanya kazi expire date.

Mavi pumbavu
 
Kwani baada ya kuulogwa ukiwa mcha Mungu si unafunguliwa vifungo vyote vya uchawi na maagano ya kiukoo au kimila Na kuwa guru "Amen"
 
Mzigo huo kudadadek, soon nakua tajiri
 

Attachments

  • 1448717024251.jpg
    1448717024251.jpg
    73.7 KB · Views: 330
mshana jr, In principle vifaa vyovyote vinavyotumika kulogea havina uwezo binafsi wa kumdhuru mtu. Kinachotokea ni kwamba mlogaji anaponuia madhara hayo uliyoyataja kwa kutumia symbol au tools zozote, anayemfanyia kazi hiyo ifanikiwe huwa ni shetani kwa kutumia uzao wake yaani majini. Pia madhara hayawezi kumfika aliyekusudiwa bila M/Mungu kuridhia nia ya mlogaji. Pia lile dhara linaridhiwa tuu ili kuwa kama mtihani kwa aliyelogwa.

Niiweke sawa, mlogaji anaweza akakubaliwa kukudhuru kama kipimo cha uchaji Mungu Kwa upande wake. Huyu akipata anachotaka (ile nia mbaya) ndio keshafeli mtihani kwa dhambi ya shirki, anasubiri adhabu. Wewe uliyelogwa unaweza ukakubaliwa upatwe na madhara yaliyokusudiwa pia kama kipimo cha uchaji Mungu wako.

Sasa kama utazama ktk shirki ili kujinasua na madhara badala ya kumtegemea M/Mungu pekee ndio tayari umefeli unasubiri kichapo. Jisomee kisa cha Nabii Ayubu (Bible na Kurani) na kisa cha wale malaika wawili waliotumwa kuwafundisha wanadamu uchawi kwa mara ya kwanza kwa lengo la kuwapima nani waovu na waadilifu ktk watu (Kurani) utakuta details za nachokisema.
 
mshana jr, In principle vifaa vyovyote vinavyotumika kulogea havina uwezo binafsi wa kumdhuru mtu. Kinachotokea ni kwamba mlogaji anaponuia madhara hayo uliyoyataja kwa kutumia symbol au tools zozote, anayemfanyia kazi hiyo ifanikiwe huwa ni shetani kwa kutumia uzao wake yaani majini. Pia madhara hayawezi kumfika aliyekusudiwa bila M/Mungu kuridhia nia ya mlogaji. Pia lile dhara linaridhiwa tuu ili kuwa kama mtihani kwa aliyelogwa.

Niiweke sawa, mlogaji anaweza akakubaliwa kukudhuru kama kipimo cha uchaji Mungu Kwa upande wake. Huyu akipata anachotaka (ile nia mbaya) ndio keshafeli mtihani kwa dhambi ya shirki, anasubiri adabu. Wewe uliyelogwa unaweza ukakubaliwa upatwe na madhara yaliyokusudiwa pia kama kipimo cha uchaji Mungu wako.

Sasa kama utazama ktk shirki ili kujinasua na madhara badala ya kumtegemea M/Mungu pekee ndio tayari umefeli unasubiri kichapo. Jisomee kisa cha Nabii Ayubu (Bible na Kurani) na kisa cha wale malaika wawili waliotumwa kuwafundisha wanadamu uchawi kwa mara ya kwanza kwa lengo la kuwapima nani waovu na waadilifu ktk watu (Kurani) utakuta details za nachokisema.

Asante kwa ufafanuzi wa kina
 
Last edited by a moderator:
Sorry to say this lakini kuna wanawake wamelogewa kunuka uchi, hapa kilichotumika kutengeneza huo uchawi ni yai viza

Mkuu, kunuka sehemu ulizozitaja huwa ni maradhi yanayosababishwa na fungi aina ya candidas (kitu kama Candidas vaginalis). Tiba ipo. Tena ni nyepesi. Mi nadhani mwenye tatizo hili aanzie hospitali, akishindwa basi aku PM hahaha......
 
Mkuu, kunuka sehemu ulizozitaja huwa ni maradhi yanayosababishwa na fungi aina ya candidas (kitu kama Candidas vaginalis). Tiba ipo. Tena ni nyepesi. Mi nadhani mwenye tatizo hili aanzie hospitali, akishindwa basi aku PM hahaha......

Hahhahahaaaa najua lakini pia huwa kuna huo mbadala...mwenye hilo tatizo asini PM sina tiba
 
Tibu wenye tatizo bhana uwasaidie usirukeruke kama popcorn kwenye kikaango...

Hahhahahaaaa TATIANA nimevuta hiyo picha ya popcorn kikaangoni nimebaki nacheka
 
Last edited by a moderator:

The biblical quote you annexed is rebuking evil and never support evil doers. My question to Invisible , why is JF supporting witchcraft and fights the Gospel of Jesus Christ.

Maybe Pope Francis can help spreading the word of God.

Note : Supporting wichtcraft and practicing it is the same thing and is sin leading you to hell.
 
Last edited by a moderator:
Kamwe hawawezi kukwambia ukweli ni kama hiyo ya kenge wanaficha ukweli kuna jinsi nyingi za kumtega kenge

mkuu hebu nisaidie namna ya kuwatega kenge maana wananitesa kwangu, kuna kichaka kikubwa cha maji.
 
mkuu hebu nisaidie namna ya kuwatega kenge maana wananitesa kwangu, kuna kichaka kikubwa cha maji.

Mayai ya kuchemsha ndio kiboko yao si lazima yawe viza
 
mshana jr, In principle vifaa vyovyote vinavyotumika kulogea havina uwezo binafsi wa kumdhuru mtu. Kinachotokea ni kwamba mlogaji anaponuia madhara hayo uliyoyataja kwa kutumia symbol au tools zozote, anayemfanyia kazi hiyo ifanikiwe huwa ni shetani kwa kutumia uzao wake yaani majini. Pia madhara hayawezi kumfika aliyekusudiwa bila M/Mungu kuridhia nia ya mlogaji. Pia lile dhara linaridhiwa tuu ili kuwa kama mtihani kwa aliyelogwa.

Niiweke sawa, mlogaji anaweza akakubaliwa kukudhuru kama kipimo cha uchaji Mungu Kwa upande wake. Huyu akipata anachotaka (ile nia mbaya) ndio keshafeli mtihani kwa dhambi ya shirki, anasubiri adabu. Wewe uliyelogwa unaweza ukakubaliwa upatwe na madhara yaliyokusudiwa pia kama kipimo cha uchaji Mungu wako.

Sasa kama utazama ktk shirki ili kujinasua na madhara badala ya kumtegemea M/Mungu pekee ndio tayari umefeli unasubiri kichapo. Jisomee kisa cha Nabii Ayubu (Bible na Kurani) na kisa cha wale malaika wawili waliotumwa kuwafundisha wanadamu uchawi kwa mara ya kwanza kwa lengo la kuwapima nani waovu na waadilifu ktk watu (Kurani) utakuta details za nachokisema.

Exactly in point!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom