KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,290
Habari wana jf
Haya leo nitaeleza namna navyoweza mtoa mtu gerezani kwa kutumia jiwe la bahati,
Kabla sijaendela kumbuka hapa siongelei uchawi wala sifundishi uchawi ni elimu tu kama elimu zingine, naweza sema ni mojawapo ya maarifa tu ambayo mwanadamu amejaaliwa kuwa nayo nk
Sio lazima ufuate haya sio lazima ufanye haya nikujua tu kama ulivyojua tunapumua kwa kutumia pua lakini hauoni manufaa yoyote nk
Haya jambo lakufanya hapa nenda katafute kiota chakunguru kipo sehemu gani,
Ukiisha kipata hicho kiota cha kunguru hakikisha hakuwa ameanza kuyaatamia mayai yake,
Chukua yai moja au mawili,
Nenda nyumbani kayachemshe yale mayai hadi yaive kabisa(usije ukayapasua kuonja kama yameiva kiding)
kisha nenda kayarudishe katika kiota cha kunguru
Hakikisha ni siku hiyohiyo kabla kunguru hajarudi katika kiota chake
Nini kinatokea wewe kila siku utakuwa unaenda kuangalia ndani yakiota chakunguru hadi siku utalikuta jiwe. Utalichukua hilo jiwe na kuondoka nalo.
Kabla sijaendelea,
Nikwamba ndege huwa mayai yao yanaweza kuharibika(Yai Viza) ila kunguru pekee ndio anauwezo wakutibu yai lake likiwa viza
Anaenda mbali anakokujua yeye atatafuta hilo jiwe nakulileta katika kiota, hilo jiwe huyabadiri mayai yake kunguru na kuwa mayai yenye uzima tena na hata yakaja kuatamiwa na kuanguliwa,
kwahiyo hapo tunatumia kunguru kupata jiwe la bahati
umeona? hakuna uchawi wowote ni maajabu ya Mungu tu sema ulikuwa haujui hili
Haya tunaendelea
Basi unaenda siku gerezani kutembelea mfungwa wako ukiwa na hilo jiwe,
kama utapata namna ya kumpa basi utaweza kumpatia hilo jiwe,
Akiingia katika mlango wowote ule basi huo mlango tayari kwake, unakuwa upo wazi hata watu wote wataona hafai wala hastahili kukaa mahali hapo
basi ndani ya siku kadhaa tu anaachiwa huru,
Kila mahali na hatua lina njia na namna zake kuweza kulitumia ni jiwe la bahati tu
ukiweza kulipata bila msaada wa kunguru basi goodluck.
Kumbuka do for your own risk
Hakuna uchawi wala ulozi hapa, wala hakuna kumkufuru Mungu
Over
Haya leo nitaeleza namna navyoweza mtoa mtu gerezani kwa kutumia jiwe la bahati,
Kabla sijaendela kumbuka hapa siongelei uchawi wala sifundishi uchawi ni elimu tu kama elimu zingine, naweza sema ni mojawapo ya maarifa tu ambayo mwanadamu amejaaliwa kuwa nayo nk
Sio lazima ufuate haya sio lazima ufanye haya nikujua tu kama ulivyojua tunapumua kwa kutumia pua lakini hauoni manufaa yoyote nk
Haya jambo lakufanya hapa nenda katafute kiota chakunguru kipo sehemu gani,
Ukiisha kipata hicho kiota cha kunguru hakikisha hakuwa ameanza kuyaatamia mayai yake,
Chukua yai moja au mawili,
Nenda nyumbani kayachemshe yale mayai hadi yaive kabisa(usije ukayapasua kuonja kama yameiva kiding)
kisha nenda kayarudishe katika kiota cha kunguru
Hakikisha ni siku hiyohiyo kabla kunguru hajarudi katika kiota chake
Nini kinatokea wewe kila siku utakuwa unaenda kuangalia ndani yakiota chakunguru hadi siku utalikuta jiwe. Utalichukua hilo jiwe na kuondoka nalo.
Kabla sijaendelea,
Nikwamba ndege huwa mayai yao yanaweza kuharibika(Yai Viza) ila kunguru pekee ndio anauwezo wakutibu yai lake likiwa viza
Anaenda mbali anakokujua yeye atatafuta hilo jiwe nakulileta katika kiota, hilo jiwe huyabadiri mayai yake kunguru na kuwa mayai yenye uzima tena na hata yakaja kuatamiwa na kuanguliwa,
kwahiyo hapo tunatumia kunguru kupata jiwe la bahati
umeona? hakuna uchawi wowote ni maajabu ya Mungu tu sema ulikuwa haujui hili
Haya tunaendelea
Basi unaenda siku gerezani kutembelea mfungwa wako ukiwa na hilo jiwe,
kama utapata namna ya kumpa basi utaweza kumpatia hilo jiwe,
Akiingia katika mlango wowote ule basi huo mlango tayari kwake, unakuwa upo wazi hata watu wote wataona hafai wala hastahili kukaa mahali hapo
basi ndani ya siku kadhaa tu anaachiwa huru,
Kila mahali na hatua lina njia na namna zake kuweza kulitumia ni jiwe la bahati tu
ukiweza kulipata bila msaada wa kunguru basi goodluck.
Kumbuka do for your own risk
Hakuna uchawi wala ulozi hapa, wala hakuna kumkufuru Mungu
Over