Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
- Thread starter
- #41
Kwako Kanda2
Soma kifungu cha 65(c) cha sheria ya ndoa na tafakari hoja nilizozitoa. Ukifanya hayo mawili ninaamini utazifuta kauli zako hizi kuwa hazina mantiki na ninazinukuu:-
Soma kifungu cha 65(c) cha sheria ya ndoa na tafakari hoja nilizozitoa. Ukifanya hayo mawili ninaamini utazifuta kauli zako hizi kuwa hazina mantiki na ninazinukuu:-
My 50cent
Slaa anadai alikuwa "hajui" kuwa Josephine ni mke wa mtu, granted! sasa kishajua na vithibitisho vime tolewa vikiwemo hati za ndoa nk. Lakini kwa jeuri na anaendelea kumtangaza kuwa ni mchumba kwa maana nyingine anavunja sheria huku sasa akijua kuwa anavunja sheria.
Huyu ndie anaepigiwa debe hapa aje kuwa "command in chief" kwa jeuri aliyo tukuka anavunja sheria mchana kweupe. Watanzani tuna elekea wapi?