Kulikuwa na Sababu ya Watoto wa Kikwete kuhudhuria sherehe za kuapishwa Mawaziri?

Ikulu yetu sasa inaonekana kama "choo" cha stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani Ubungo. Kila aina ya watu wanaingia pale siku hizi. Shughuli za kikazi na za kiserikali kama ile ya jana hata akina WJM nao wakaingia pale! Bado tunasubiri akina Ngeleja, Mkullo, Nundu, Mponda,...., waende kuaga na familia zao kwa kuwa siku wanaapishwa walikwenda nazo.
 
- Mkuu mleta mada kwani katiba ya Jamhuri inasemaje kuhusu Watoto wa The sitting President na Sherehe za Ikulu?

- Halafu pia uweke wazi Katiba hiyo hiyo inasema nini kuusu hao wananchi wengine wa kwaida waliohudhuria huko jana, infact na mimi nilikuwepo pia, I mean ndio njia pekee ya kukata mzizi wa fitina, otherwise isije ikawa wivu na chuki binafsi bila hoja za msingi! au?

William.

Wewe malecela kaa kimya kabisa...wewe ni product ya nepotism hupaswi kuongea chochote...mmetuibia vya kutosha eti linaenda mchakato wa EALA...what a shame?
 
sio kila kitu kinafanyika lazima kufuata katiba. Madhara yanayotokana na negative perception kutoka kwa wanajamii yanaweza kuwa mabaya zaidi kwa hawa watoto wa rais. Kwa kifupi tu mpaka sasa hawa watoto hawana picha zuri ndani ya mioyo ya baadhi ya watanzania wengi. Hii ina negative implications katika maisha yao ya baadaye.

Maisha yao ya baadaye? Which baadaye, there is no another life for sinners. Only we saints will go to Heaven

Noir contra vida el meses du sinies. Ve o veir comies du inferno la eternale
 
- Mkuu mleta mada kwani katiba ya Jamhuri inasemaje kuhusu Watoto wa The sitting President na Sherehe za Ikulu?

- Halafu pia uweke wazi Katiba hiyo hiyo inasema nini kuusu hao wananchi wengine wa kwaida waliohudhuria huko jana, infact na mimi nilikuwepo pia, I mean ndio njia pekee ya kukata mzizi wa fitina, otherwise isije ikawa wivu na chuki binafsi bila hoja za msingi! au?

William.

William, Ukiitizama hii hoja kama mtu aliyeenda shule utagundua tatizo sio uwepo wa watoto wa rais kwenye hafla ya kuapisha baraza la mawaziri, bali ni mlolongo wa incidents za watoto wa rais kwenye ngazi ya uongozi wa nchi. Na kama kuna jambo ambalo Rais Kikwete anaweza akajilaumu kwa kutoliona ni hili la familia yake kuhusishwa na 'front line' politics.

Kumekuwepo na tuhuma kwamba hata baadhi ya mawaziri wapya ni marafiki au wabia wa wanafamilia. mfano Steven Maselle. Sasa matukio kama ya jana (kuhudhuria hafla) yanazidi kupalilia mjadala wa nafasi ya wanafamilia hii kwenye maamuzi ngazi za juu!

Ridhiwani na wenzake sio watoto wadogo, ni watu wazima na ningetaka kuamini wana shughuli zao. Jana ilikuwa siku ya kazi, wao wanafanya nini kwenye hafla ya kuapisha baraza la mawaziri lilotakana na reshuffle?

Jambo jingine ambalo sijaelewa, ni kwanini serikali ya CCM imeona ni sahihi kufanya hii shughuli iwe ya kisherehe-sherehe? Tukumbuke hili baraza halijatokana na uchaguzi mkuu, bali limetokana na scandal of monumental proportion. Na licha ya madudu mengi kwenye report ya CAG bado wako mawaziri wameendelea na kazi mfano Mkuchika na Prof Maghembe. Busara ndogo tu ingesema kuwa serikali ilitakiwa kufanya hii shughuli with no trace of fun-fare.

Nimeshangaa zaidi kusoma kuwa hata wewe William ulikuwepo! Kufanya nini? Kwa kukaa kwako Marekani unaweza kuniambia rais wa Marekani akifanya re-shuffle wanaandaa hafla kama ya hii ya serikali ya CCM? Wanakuja watu baki kabisa kama akina Malinzi? Na ni nani amegharamia hii hafla? Na kwa nini iwe hafla?
 
Angalizo; Bureaucracy inataka pawe na mipaka kati ya public and private/family spheres sasa kipindi Rais anakaa ikulu may be na familia yake inabidi kuwa makini na hizi spheres as overlaping is very very likely to happen and am afraid it is the case here

On this topic particularly kwa wakati ule kunakuwa na matukio mawili kwanza kuapishwa wateule then kubadilishana mawazo, picha kwa kumbukumbu, vinywaji na vitafunwa kwa waalikwa, sasa hapa kuna maswali;

1. Hiyo picha ilipigwa wakati upi haswa????? kabla au baada ya kuapishwa???Maana kwa mkao huo hakuna lolote hapo ambalo ni issue kama theme ime base na ni limited to this picture only....unless at the same time wao wanaongea kama inavyoonekana uapisho ulikuwa unaendelea at the same viscinity

2. Punde baada ya kuapisha Rais anarudi kuwa mwenye nyumba na sasa anawakarimu wageni wake sehemu anayoishi. Kama ni hivi na picha hii ilipigwa kipindi hicho hapa watoto wake wana haki ya kuungana na baba yao kukarimu wageni nyumbani kwa mzazi wao......

Tuanze kujadili kipande hii kama kuna ulazima.............au la hii picha ni less than what is required to be discussed critically as the discussion is beyond the image posted
 
mkuu, wacha wivu wa kijinga , that is very normal mzee, au huoni huko mbele hata mkuu obama mwenyewe anavyokwenda kwenye official trips na mkewe pamoja na watoto wake wote, umesahau pia ya clinton na mwanae chelsea, hata sheria haizuii mambo kama hayo..by the way namchukulia kikwete kama baba mzuri..maana anawakuza wanawe katika njia bora kwa kuwafundisha kwa mifano na kuwapa nafasi ya kukutana na prominent people in the country kwani hapo ikulu wanakaa kwa muda tu..hivyo wanajiandaa na maisha baada ya ikulu..mzee wangu alikuwa akinipeleka kila mahali anapokwenda hasa hasa mikutano mikubwa na kunitambulisha mbele za watu..katika umri mdogo nimejifunza mambo mengi na kujuana na watu wengi na imenisaidia sana ..hivyo anachofanya kikwete ni sawa kabisa..nafasi kama hiyo wengi tunaitamani hata wewe pia wivu tu umekushika mkuu

Too low! Hujajibu swali kulikuwa na umuhimu wa watajwa kuhudhuria? Unaposema Obama huongozana na wanae kwenye official trip na hivyo kuhalalisha pia akina Miraji kuwa kwenye sherehe hiyo pia si sawa..kwan kuapisha mawaziri ni official trip..acha wenge mkuu!
 
- Mkuu mleta mada kwani katiba ya Jamhuri inasemaje kuhusu Watoto wa The sitting President na Sherehe za Ikulu?

- Halafu pia uweke wazi Katiba hiyo hiyo inasema nini kuusu hao wananchi wengine wa kwaida waliohudhuria huko jana, infact na mimi nilikuwepo pia, I mean ndio njia pekee ya kukata mzizi wa fitina, otherwise isije ikawa wivu na chuki binafsi bila hoja za msingi! au?

William.

Billy, hakuna chuki binafsi katika hii hoja. Ikulu ni sehemu takatifu na yenye heshima ya pekee. Toka enzi za Mwalimu Nyerere pamekuwa hivyo. Je wewe umeshawahi kualikwa Ikulu wakati wa Mwalimu kwenye sherehe za kuapishwa mawaziri? (Kumbuka kwamba baba yako Mzee John Samweli Chigwiyemisi Malecela Mganga wa mvua) alikuwa madarakani.

Kwa sasa tunaona ikulu imekuwa ni kijiwe cha kupiga soga, kila mwenye pesa na jina kubwa anaingia ikulu kama chooni.
 
mbona watoto wa obama hua wanakimbizana na mbwa wao kule white house na wamarekani hawalalamiki...waache wa enjoy...pale kwa wao ni nyumba ndogo...riz1 anaonekana kama future politician...huyu miraj utafikiri mwimbaji wa bongo flava!!
 
Eee ee jamani, mwanadamu hatosheki, hata ukimpa nini, milele hataridhika...

Nyerere kawabana watoto wake mpaka leo kina Ganesh wamechanganyikiwa na maisha, tumemsema sana Nyerere. Mzee wa watu wanawe alikuwa hata haonani nao mpaka hela za madaftari wanapewa na Butiku. Tumemsema Nyerere mnoko.

Kikwete katokea rais social, anawapa good time watoto, naye tunamsema.

Tunataka nini hasa?

Mkuu,

You just have to strike the right balance. The two cases you just pointed were both "extreme-ends".
 
Eee ee jamani, mwanadamu hatosheki, hata ukimpa nini, milele hataridhika...

Nyerere kawabana watoto wake mpaka leo kina Ganesh wamechanganyikiwa na maisha, tumemsema sana Nyerere. Mzee wa watu wanawe alikuwa hata haonani nao mpaka hela za madaftari wanapewa na Butiku. Tumemsema Nyerere mnoko.

Kikwete katokea rais social, anawapa good time watoto, naye tunamsema.

Tunataka nini hasa?

Mkuu,

You just have to strike the right balance. The two cases you just pointed were both on "extreme-ends".
 
Pengine tunawaonea tu hawa wanae. Rais wetu ni mtu wa mikusanyiko mikubwa kwa kila analotaka kufanya. Hili la watu kuapishwa/kuapisha na familia, ndugu na wapambe wao tulizoee tu kwa muda huu aloobakiza pale Ikulu.
 
Marais toka awamu ya kwanza hadi ya Tatu hatuwaona watoto wao kwenye hizo sherehe za Mawaziri kuapishwa

Ni Miaka Miwili na Nusu imebaki wataichukua ikulu hapo 2015?

A4.jpg

Ridhiwan Kikwete akizungumza na aliyekuwa rais wa Yanga Jamal Malinzi wakati wa hafla hiyo katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam leo.

A5.jpg

Miraji Kikwete akiwa na wadau wengine katika hafla hiyo

si imefanyika nyumbani kwao,lazima wahudhurie teh teh teh
 
mkuu, wacha wivu wa kijinga , that is very normal mzee, au huoni huko mbele hata mkuu obama mwenyewe anavyokwenda kwenye official trips na mkewe pamoja na watoto wake wote, umesahau pia ya clinton na mwanae chelsea, hata sheria haizuii mambo kama hayo..by the way namchukulia kikwete kama baba mzuri..maana anawakuza wanawe katika njia bora kwa kuwafundisha kwa mifano na kuwapa nafasi ya kukutana na prominent people in the country kwani hapo ikulu wanakaa kwa muda tu..hivyo wanajiandaa na maisha baada ya ikulu..mzee wangu alikuwa akinipeleka kila mahali anapokwenda hasa hasa mikutano mikubwa na kunitambulisha mbele za watu..katika umri mdogo nimejifunza mambo mengi na kujuana na watu wengi na imenisaidia sana ..hivyo anachofanya kikwete ni sawa kabisa..nafasi kama hiyo wengi tunaitamani hata wewe pia wivu tu umekushika mkuu


Mkuu hiyo mikutano ilikuwa ya umma/ serikali????? Au ni kampuni ya mzee wako binafsi?????
Kama ni ya serikali ndivyo mzee wako alikuwa mtovu wa nidhamu mbele ya ofisi ya umma na aliitumia ofisi dhahir shahir kwa manufaa ya familia yake haswa wewe......you were to shun for this and not to proudly speak of him and his filthy acts....... Na hakika hakuwa ni mtumishi wa mfano mahala pake pa kazi na wewe kama ni muelewa lazima utakuwa umetambua hili na kama hujui jua from now on na kuweka bayana kama hapo kwenye blue kunanifanya nione umelelewa kibinafsi....umejaa choyo na mbaguzi kwa wale ambao wazazi wao hawakuweza kushika nyadhifa kama hizo..................hivi baba yako angekuwa ni dobi wa hospitali angekupeleka laundry ukakutane na work mates wake in the same vein??????

Kama una uhakika na matendo yake weka jina lake hapa (mzee wako) na lako then itakuwa historia imekamilika juu ya matumizi yake ya ofisi..........you are proud of him and yourself yes .................but with eggshell personalities

Kama ilikuwa private venture................he was a good mentor otherwise delete this statement soon after reading
 
Tatizo la hawa watoto wa JK ni uswahili ndio umewajaa, wanatakiwa watambue kuwa NEC ilimpitisha baba yao (baada ya uchakachuzi), sasa wao kuwa kimbelembele kwenye mambo ya kitaifa inatia shaka sana. Hata kama swala la kuwavumilia tumechoka, hii familia ya ajabu sana, hata kwenye uchaguzi 2010, kampeni si ilifanywa na Baba, Mama na watoto... ofcoz inakera sana..
 
Tuwaombe tu waliotemwa waende Ikulu na familia zao kuaga. JMK atawapokea sana tu.
 
Riz anajiona anaubia na baba yake kwenye urais, wewe mwangalie huyu dogo hata mapozi yake utajua tu kilichomo kichwani mwake. Na pale na malinzi lazima atakuwa alikuwa anapiga majungu ya yanga.
 
- Mkuu mleta mada kwani katiba ya Jamhuri inasemaje kuhusu Watoto wa The sitting President na Sherehe za Ikulu?

- Halafu pia uweke wazi Katiba hiyo hiyo inasema nini kuusu hao wananchi wengine wa kwaida waliohudhuria huko jana, infact na mimi nilikuwepo pia, I mean ndio njia pekee ya kukata mzizi wa fitina, otherwise isije ikawa wivu na chuki binafsi bila hoja za msingi! au?

William.
wivu wa kike sio? kwani hao watoto wa RAIS hawana kazi zao au ni watumishi wa ikulu?
 
Back
Top Bottom