Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Sijui kama kuna aliyelibaini hili,katika ving'amuzi vyote vinavyopatikana hapa nchini kwa sasa hivi TV Channels za Bwana Mengi i.e. ITV,EATV and Capital hazimo au hata kama zilikuwemo zimeondolewa ghafla kama walivyofanya wenye EASY TV,kulikoni katika hili,mwenye habari zozote atujulishe tafadhali.