Kulikoni StarTV na Radio Free Africa?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,802
71,229
Jee hizi tetesi kuwa wafanyakazi wamegoma kudai mishahara ni za kweli? Maana naona kwa siku mbili tatu matangazo hakuna ni miziki tuu bila ukomo!

Na kwa nini vyombo vingine vya habari vimefanya huu ni usiri jee hawataki kuzungumzia haki za wenzao? Au na wao hawakuwa na ushirikiano na wenzao?

Hata CCM wameshindwa kutoa msaada kwa kituo ambacho ndio msaada wao mkubwa kwa propaganda zao?


=====================

Steve Diallo, mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM amesema “Wanadai malipo ya mishahara ya miezi tofauti, wapo wa miezi mitatu na wengine zaidi, tumetoa taarifa TCRA na kwenye Ofisi ya Kamishna wa Kazi, hata Waziri Nape (Nnauye) alipiga simu kuulizia kinachoendelea.”

Ameongeza “Tunafanya vikao na wafanyakazi ili kutatua changamoto. Pesa hatuna, hatuzalishi ya kutosha ukilinganisha na mahitaji yaliyopo ya Satellite na kukatika kwa umeme. Kukatika-katika kwa umeme kumesababisha matumizi makubwa ya jenereta.”
 
Wafanyakazi wa RFA na Stattv wanamaisha magum kitambo sana, pale hakuna wanachopata hata nauli ya kwenda kazin utajua unaitoa wap, watu wameng'ang'ania kuendelea kufanya kazi kwakua wakisikika sikika mtaani wanapata wadau wa kuwapa shilingi mbili tatu tu
 
Jee hizi tetesi kuwa wafanyakazi wamegoma kudai mishahara ni za kweli? Maana naona kwa siku mbili tatu matangazo hakuna ni miziki tuu bila ukomo!

Na kwa nini vyombo vingine vya habari vimefanya huu ni usiri jee hawataki kuzungumzia haki za wenzao? Au na wao hawakuwa na ushirikiano na wenzao?

Hata CCM wameshindwa kutoa msaada kwa kituo ambacho ndio msaada wao mkubwa kwa propaganda zao?
Diallo yuko kwenye danger zone ya kufilisika!
 
Jee hizi tetesi kuwa wafanyakazi wamegoma kudai mishahara ni za kweli? Maana naona kwa siku mbili tatu matangazo hakuna ni miziki tuu bila ukomo!

Na kwa nini vyombo vingine vya habari vimefanya huu ni usiri jee hawataki kuzungumzia haki za wenzao? Au na wao hawakuwa na ushirikiano na wenzao?

Hata CCM wameshindwa kutoa msaada kwa kituo ambacho ndio msaada wao mkubwa kwa propaganda zao?
Dialo alishindwa kabisa kucheza na fursa ya kungamuzi chake cha continetal, kwa sasa kimekuwa mzigo ningeomba mamlaka ziingilie wakifanye kiwe FREE TO AIR, maana maudhui yake na channel na hela wanayoripisha haviendani kbs wamefilisika, wanaogopa kuweka mambo wazi
 
Jee hizi tetesi kuwa wafanyakazi wamegoma kudai mishahara ni za kweli? Maana naona kwa siku mbili tatu matangazo hakuna ni miziki tuu bila ukomo!

Na kwa nini vyombo vingine vya habari vimefanya huu ni usiri jee hawataki kuzungumzia haki za wenzao? Au na wao hawakuwa na ushirikiano na wenzao?

Hata CCM wameshindwa kutoa msaada kwa kituo ambacho ndio msaada wao mkubwa kwa propaganda zao?
Mwanahabari hawezi kudai haki ya mwanahabari mwenzie, rejea issue ya Majizzo na Hando
 
Wafanyakazi wa RFA na Stattv wanamaisha magum kitambo sana, pale hakuna wanachopata hata nauli ya kwenda kazin utajua unaitoa wap, watu wameng'ang'ania kuendelea kufanya kaz kwakua wakiskika skika mtaani wanapata wadau wa kuwapa shilingi mbili tatu tu
Sio hao tu
Media nyingi hapa bongo hazilipi wafanyakazi
Tatizo hao wanahabari wanajitunisha sana ilihali hali mbaya
 
Jee hizi tetesi kuwa wafanyakazi wamegoma kudai mishahara ni za kweli? Maana naona kwa siku mbili tatu matangazo hakuna ni miziki tuu bila ukomo!

Na kwa nini vyombo vingine vya habari vimefanya huu ni usiri jee hawataki kuzungumzia haki za wenzao? Au na wao hawakuwa na ushirikiano na wenzao?

Hata CCM wameshindwa kutoa msaada kwa kituo ambacho ndio msaada wao mkubwa kwa propaganda zao?


=====================

Steve Diallo, mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni ya Sahara Media Group inayomiliki Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM amesema “Wanadai malipo ya mishahara ya miezi tofauti, wapo wa miezi mitatu na wengine zaidi, tumetoa taarifa TCRA na kwenye Ofisi ya Kamishna wa Kazi, hata Waziri Nape (Nnauye) alipiga simu kuulizia kinachoendelea.”

Ameongeza “Tunafanya vikao na wafanyakazi ili kutatua changamoto. Pesa hatuna, hatuzalishi ya kutosha ukilinganisha na mahitaji yaliyopo ya Satellite na kukatika kwa umeme. Kukatika-katika kwa umeme kumesababisha matumizi makubwa ya jenereta.”
Tunaisoma namba pamoja haina ubaguzi!🤣
 
Tatizo wafanyakazi wa kwenye media house nao huwa wanavimba sana kuonekana wana maisha mazuri. Watangazaji huwa wanalipwa kidogo mno ila cha kushangaza wako tayari kuvumilia yote ili tu wasikike. Kuna Redio 5 Arusha nayo ni majanga. Wale hawajalipwa miezi mingi sana. Diallo akubali tu kwamba hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho.
 
Back
Top Bottom