NILIFUNGULIA JNNE USIKU NISIKILIZE BOLINGO TIME NIKAKUTA TOFAUTI NA NILICHOTEGEMEA DAH RADIO YETU JAMANI TUMEIZOEA PAMOJA NA UCCM WAO HEBU MALIZENI CHANGAMOTO HIYO RADIO YETU IRUDI KWA HEWA.
Ilikuwa bonge la radio station,
Hivi naona watoto wanailingamisha na viradio uchwara vya juzi
Wanajua madini yaliyokuwa yanashushwa na
1. Mtoto wa mama sabuni?
2. Juma Ahmed Balagaza (JB)
3. Fred Waa (R.I.P)
4. Dr. Roy Ndariki Maganga
5. Rahabu Fungo
6. Sky Walker Bundala
Anyway tuseme hivi
Mnajua kipindi bora cha usiku wa mahaba?
Je wajua?
Je huu ni ungwana?
Mchana na Celtel
(Tuma salam kwa wwtu 3 waambie watumie Celtel)
Boringo Time
Search line
(Namtafuta Nyahoza Makubi tulipotezana shule ya msingi Mshukamano C mwaka 1960, namwambia nilimpenda sana na ka.a ananiskia anitafute kwa nambari...)
Mambo Mambo eeeeee
Sitasahau
(Leo tutakuwa na jamaa yetu aliekuwa na safari Tanzania hadi Africa kusini)
Amka na BBC
(Tukianzia huko Kenya, Rais wa nchi hiyo Arap Moi ametoa onyo kali kwa wezi wa mifugo)
Hii ni Sauti ya America na Mimi Mkamiti Kibayasa
Dw doch Were saa saba mchana (Tunaanzia nchini Iraq, Vikosi vya jeshi la Marekani vimesema vinakaribia kumpata rais wa Nchi hiyo Sadam Hussein)
************
Mwenye Tangazo la safari larger naliomba, lilikuwa linaligwa R.F.A saa mbili kipindi cha Michezo
Safari ni Safari, Safiri Tanzania..... Safari Moja ....huanzisha Nyingine...
Linamalizia na kizibo kufunguka tufuuuuu...
Soda ilikuwa 200 ukiondoka na chupa unalipia 250/=