Kulikoni Ramadhani Kabwili (Football player)

Fedheha ipi na kwa jamii gan?

Mbavu zangu mie uwiiiii. Poleeeeeh
 
Uandishi wako tu unadhihirisha tofauti kubwa ya uelewa wa mambo. Ivi=hivi, unavoongea=unavyoongea, kichwan= kichwani, kna=kuna

Rekebisha kwanza uandishi kisha unaweza kupata hata hoja kidogo ya kueleweka.
Sijaona hata hoja yako ya msingi kutoka kwako, labda ungeanza upya tena, relaaaaax.
 
Asante kwa kuwa na kichwa chepesi kuelekezwa mara moja na tuition ikaingia vema. Si unaona sasa angalau umeanza kujua kuandika vizuri. Elimu haina mwisho kama hivi nimekupa tuition bure kabisa halafu hata hujashukuru.
umeshindwa kuwasilisha hoja yako, si ukubali tyuuh khaaah.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…