Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,277
Upuuzi, upumbavu!Chama Cha Taifa CCM kipo Pamoja Na CAG
CCM ndio imeamuru Wabunge wake wapuuze Azimio la Bunge la kumsusia CAG
Upuuzi, upumbavu!Chama Cha Taifa CCM kipo Pamoja Na CAG
CCM ndio imeamuru Wabunge wake wapuuze Azimio la Bunge la kumsusia CAG
Pohamba, umemsikia speaker Job Ndugai huko akiongea na vyombo vya habari!!?? Tupe maoni yako mkuu kulingana na hiki ulichokiandika hapa.Chama Cha Taifa CCM kipo Pamoja Na CAG
CCM ndio imeamuru Wabunge wake wapuuze Azimio la Bunge la kumsusia CAG
Pohamba, umemsikia speaker Job Ndugai huko akiongea na vyombo vya habari!!?? Tupe maoni yako mkuu kulingana na hiki ulichokiandika hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani dalili za kutimia kwa Ufunuo ndo hizi.... Ingawa bado kuna watu huwezi ukawaambia lolote juu ya chama chetu, hata kama mtu atafanya maamuzi mabaya, wao watasifia tu ilimradi mtu ni wa chama chetu.akili zake zilikuwa kwenye vile vidole vitatu vya Mguu wa kushoto vilivyobaki Appolo Hospital Nchini India
Hata kama chama cha taifa (ccm) kingekengeuka na kwenda kinyume na CAG matokeo ya uchaguzi 2020 lisu80% magu20%Chama Cha Taifa CCM kipo Pamoja Na CAG
CCM ndio imeamuru Wabunge wake wapuuze Azimio la Bunge la kumsusia CAG
Matumizi ya mbolea yamemchakaza kinoma.Pole pole kwenye Katiba aliingia kama kijana ila sasa hivi yupo neutral maana haeleweki awekwe wapi kundi la vijana au Mzee... Dunia ina vituko Pole pole nae anamkosoa CAG kazi kweli kweli...