Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,687
- 3,406
Sasa hiyo CCM imuelekeze speaker Job Ndugai awarudishe waheshimiwa Halima Mdee na Godbless Lema, waliomuunga mkono CAG Prof Mussa Assad.Wabunge wa CCM hawakukutana Kwenye Kamati ya Wabunge wa CCM kupata ridhaa ya Chama kwa Azimio Hilo
Walikurupuka ndio sababu Chama kimewaamuru kutupilia mbali Azimio linalovunja Katiba
CCM ipo kusimamia Na kuelekeza Wabunge wake sio Wabunge kuelekeza CCM
Sent using Jamii Forums mobile app