Kulikoni Polepole kukaa kimya sakata la CAG?

Kulikoni Polepole kukaa kimya sakata la CAG?

Wabunge wa CCM hawakukutana Kwenye Kamati ya Wabunge wa CCM kupata ridhaa ya Chama kwa Azimio Hilo

Walikurupuka ndio sababu Chama kimewaamuru kutupilia mbali Azimio linalovunja Katiba

CCM ipo kusimamia Na kuelekeza Wabunge wake sio Wabunge kuelekeza CCM
Sasa hiyo CCM imuelekeze speaker Job Ndugai awarudishe waheshimiwa Halima Mdee na Godbless Lema, waliomuunga mkono CAG Prof Mussa Assad.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabunge wa CCM hawakukutana Kwenye Kamati ya Wabunge wa CCM kupata ridhaa ya Chama kwa Azimio Hilo

Walikurupuka ndio sababu Chama kimewaamuru kutupilia mbali Azimio linalovunja Katiba

CCM ipo kusimamia Na kuelekeza Wabunge wake sio Wabunge kuelekeza CCM
Hapa nimeelewa naongozwa na mbunge mjinga,asie na mimi mwananhi,anawaza masilahi ya chama,akigombea tena simchagui tena!
 
nimeguswa na hii mada kwa maswali lukuki kuwa je ni huyu mzee kijana tu alie kimya wakati huu? je kwanini yuko kimya? yupo ofisini? busy? lakini mbona na wakubwa zake pia nao kama wamemwagiwa maji wako kimyaaa, ripoti hii imetaja mafisadi wote ofisi walipo na kiasi walichoiba, ni aibu sana kwa nchi na serikali kwa ufisadi huu wa kutisha uliofanyika na wenye ushahidi, je mahakama ya mafisadi ofisi zao ziko wazi au wapo likizo? je kwanini hawaanzi kukamata na kuwahoji wahusika wote simply kuanzia na all budget holders na signatories wa kila wizi ulioandikwa na CAG, ni aibu na kichekesho kikuu kusema serikali inapambana na ufisadi na kuwaacha mafisadi wenye ushahidi wakidunda mitaani , shime sana mahakama ya mafisadi ifanye kazi yake sasa kuwakamata mafsadi wote walioainishwa kwenye ripoti ya CAG , ni bora tutafute kauli mbiu ingine!!
Safi sana, ila kwa taharifa yako mahakama ya mafisadi iko kwa ajili ya kuwakomoa mahasimu wake mkuu and not otherwise, hili la CAG in sindano ilowachoma sawasawa makalio yao.
Waako wapi...
Polepole.
Bashuru ally.
Kibajaji.
Kitila mkumbo.
Na makapi mengine yanayosifiasifia mda wote bila kutumia akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aseme nini tena huyu mzee kijana? Kashachoka kujitoa ufahamu.
 
Katika sakata la 1.5 Trillion Polepole alijitokeza kwa ushujaa kufundisha taifa hesabu na kuonyesha hakuna fedha imepotea.

Polepole ni katika watu walio mstari wa mbele kuunga lolote lifanywalo na Rais hata kama halina maslahi kwa nchi.

Lakini kabla ya haya yote, kabla ya Polepole kupata vyeo CCM alikuwa kijana mahiri mwenye kulitetea taifa na kusimamia maslahi ya taifa na alivuma sana kipindi cha katiba mpya.

Kimya chake cha ghafla baada ya watu kuanza kumuandama mitandaoni Je kuna jambo kashtukia sivyo alivyotegemea au kashaona muelekeo mbaya wa taifa na anaanza kujitoa taratibu na kukabidhi kazi kwa akina Musiba.

Polepole tumjuae asingeacha ripoti ya CAG imchafue Magufuli lazima lawama zingepelekwa kuwa kuna vibaraka wa mabeberu.

Je, nini kimemsibu?
Chakubanga ni mtaalamu wa sanaa za maigizo kuliko Lowassa aliyezisomea kiwango cha shahada ya chuo kikuu; yuko chimboni aka "War room" anachonga maumbo na ngonjera ili akiibuka ang'are ng'ari ng'ari! subiri uone.
 
Kama ilivyo kawaida ya Chama Cha Mapinduzi kutolea ufafanuzi wa mambo baada ya ripoti ya CAG.

Mwaka Jana Ndugu Humphrey Polepole, Katibu Mwenezi wa CCM alitolea ufafanuzi upotevu wa 1.5T na somo lililieleweka na Watanzania wengi (Pongezi Kwa Polepole)

Swali langu ni Lini Polepole atatupa darasa murua la hisabati kutumia njia zake pendwa za MAGAZIJUTO kutolea ufafanuzi upotevu wa Trillions na Billions kadhaa kama ilivyoelekezwa na Ripoti ya CAG?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polepole akitoa darasa la Magazijuto
IMG_20190412_123849.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • IMG_20190412_123849.jpeg
    IMG_20190412_123849.jpeg
    21 KB · Views: 18
Jamaa nasikia anagonga mvinyo sana, ngoja akikaa vizuri atatupa nondo zake.
 
Kama ilivyo kawaida ya Chama Cha Mapinduzi kutolea ufafanuzi wa mambo baada ya ripoti ya CAG.

Mwaka Jana Ndugu Humphrey Polepole, Katibu Mwenezi wa CCM alitolea ufafanuzi upotevu wa 1.5T na somo lililieleweka na Watanzania wengi (Pongezi Kwa Polepole)

Swali langu ni Lini Polepole atatupa darasa murua la hisabati kutumia njia zake pendwa za MAGAZIJUTO kutolea ufafanuzi upotevu wa Trillions na Billions kadhaa kama ilivyoelekezwa na Ripoti ya CAG?

Sent using Jamii Forums mobile app
ila siyo Siri CCM Kuna watu wa Ajabu.

Nasikia,zile calculation zilifanya atunukiwe PhD

ila now yupo na jopo la ma CAG wa lumumba wanataka kupika kitu,ambacho akitoka hapo,Moja kwa Moja atakuwa Professor wa CAG

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika sakata la 1.5 Trillion Polepole alijitokeza kwa ushujaa kufundisha taifa hesabu na kuonyesha hakuna fedha imepotea.

Polepole ni katika watu walio mstari wa mbele kuunga lolote lifanywalo na Rais hata kama halina maslahi kwa nchi.

Lakini kabla ya haya yote, kabla ya Polepole kupata vyeo CCM alikuwa kijana mahiri mwenye kulitetea taifa na kusimamia maslahi ya taifa na alivuma sana kipindi cha katiba mpya.

Kimya chake cha ghafla baada ya watu kuanza kumuandama mitandaoni Je kuna jambo kashtukia sivyo alivyotegemea au kashaona muelekeo mbaya wa taifa na anaanza kujitoa taratibu na kukabidhi kazi kwa akina Musiba.

Polepole tumjuae asingeacha ripoti ya CAG imchafue Magufuli lazima lawama zingepelekwa kuwa kuna vibaraka wa mabeberu.

Je, nini kimemsibu?
,kimya kinamaanisha kukubaliana na tuhuma
 
... yuko chimbo ana andaa somo Mkuu. Akiibuka, atairarua vibaya ripoti ya CAG huku 93% ya wanyonge wakiichanachana ripoti ya CAG na kuomba kibali cha maandamano kuunga mkono juhudi na kulaani ripoti ya kichochezi!
 
Jamaa nasikia anagonga mvinyo sana, ngoja akikaa vizuri atatupa nondo zake.
Nilidhani jamaa aliyenidokeza mwongo! Kumbe wengi wana hii taarifa, anyway acha wanywe huenda wataharakisha ule mpango wa kurasimisha gongo.
 
Kama ilivyo kawaida ya Chama Cha Mapinduzi kutolea ufafanuzi wa mambo baada ya ripoti ya CAG.

Mwaka Jana Ndugu Humphrey Polepole, Katibu Mwenezi wa CCM alitolea ufafanuzi upotevu wa 1.5T na somo lililieleweka na Watanzania wengi (Pongezi Kwa Polepole)

Swali langu ni Lini Polepole atatupa darasa murua la hisabati kutumia njia zake pendwa za MAGAZIJUTO kutolea ufafanuzi upotevu wa Trillions na Billions kadhaa kama ilivyoelekezwa na Ripoti ya CAG?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana darasa anahitaji darasa PhD aliyookota dampo ni feki ndo maana ilitupwa na aliyeipata Manzese University.
 
Back
Top Bottom