Kulikoni Mpakwa mafuta Britanicca, umehamia CHADEMA

Kulikoni Mpakwa mafuta Britanicca, umehamia CHADEMA

Lihamie mara ngapi? Alishahamia kitambo sana na nasikia shughuli ilompeleka Urusi wamemtoa sasa atakula nyasi,

Iko hivi hawa ni watu wa serikali walioko nje,(FAO) sasa kapigwa chini kama hamuelewi, ndo maana ya povu la hivi karibuni
Toka apishwe chini ana Hasira Na serikali acha
 
Wanasiasa hawaaminiki wao hutetea tu masilahi yao ndo mana mara waunge mkono juhudi mara aponde baada ya kuguswa masilahi.
Welcome to politics. Wanasiasa hawana maadui wa kudumu, wala marafiki wa kudumu only commom interest.
Kuna wabunge walisema wanaichukia ccm, leo ndio wamehamia huko.. wengine yoka ccm walihamia upinzani.

so trust them kwakweli. Ni professional liars
 
Kwanza kuna mtu kapotosha kwamba mimi ni Balozi wa FAO, kadanganywa na waliomwambia, pili siwezi kukataa kusema nacho amini,

Mimi sijawahi kuwa balozi na sina mpango huo,

Nafanya shughuli nyingine kabisa

Hivo Samweli Mathayo acha kupotosha watu MISULI
 
Wao ni masilahi yao mbele kwanza si ccm wala CDM au cuf wote agenda zao njaa tupu. Wasije tu kuuza nchi yetu tukufu
Welcome to politics. Wanasiasa hawana maadui wa kudumu, wala marafiki wa kudumu only commom interest.
Kuna wabunge walisema wanaichukia ccm, leo ndio wamehamia huko.. wengine yoka ccm walihamia upinzani.

so trust them kwakweli. Ni professional liars
 
Ni kweli mkuu mada zake ni nzuri na za kujenga tena ka Ile ya juzi mheshimiwa angeisoma angepata lakusaidia utawala wake sema watu wameweka vyama mbele kuliko uzalendo wa kweli
Unajua dada tatizo la hii nchi kila mtu anaweka siasa over everything. Even mambo ya muhimu.
Brittanica ana mada nzuri sana, haijalishi ni chama gani, watu waangalie mada aliyotoa muhusika. Suala la kuanza kusema sijui yuko chama gani.. huo ni utoto.
 
Ila na wewe karibu unapigwa chini. Hujifunzi na huna michango iliyoshiba. Mkulu * cross check* anagundua huna michango Tangiblel. Atakutumbua jiongeze.
Ha ha ha...
 
Harakati ni kufanya CCM isimame milele...jingalao hatukani hata siku moja...jingalao anaongea kweli tupu.Jingalao hayupo Lumumba mkuu...yupo kila mahali!!
Jingalao hasifii sifii hovyo...Mtambue Jingalao toka alivyoingia JF na uuelewe msimamo wake.Jingalao is more than CCM!!

Kujua Mtatiro au anyone else atachaguliwa kuwa kiongozi ndani ya Serikali au Chama haiwezi kukufanya kuwa mwanaccm bora.

Jingalao stick with his mission and purpose...
Jingalao is GOD granted creature ..for Tanzania welfare.
Naongezea, jingalao now is a brand name.
 
Huyu akihamia CHADEMA ni pigo kwa CCM mtandaoni, maana michango yake asilimia 30 angalau inakijenga chama chake,
Pili ni watu ambao CCM inawategemea mtandaoni
GENTAMYCINE
Troll JF
Trump2
faiza foxy
britanicca


Kuna muda akili huwajia na kutoa michango ya maana wanajua sana kucheza na jukwaa, wanatumwa kuleta nyuzi za ni trick watu kupima upepo,

Ila kuna mazuzu YEHODAYA ISIS jingalao hawa wamachefua Pascal Ndege
[emoji38][emoji38][emoji38] kabisa ..hiyo list ya chini kabisa ungeongezea cocochanel huyu ndo kisoda kbs.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] kabisa ..hiyo list ya chini kabisa ungeongezea cocochanel huyu ndo kisoda kbs.

Eeeeeh
Si mshukuru sipo huko mnapokazania nipo..
Kwa u celeb wangu wa kujulikana Cocochanel wa JF.. mngelia eeeeeh.. hadi kwingine ningewafata wanamchi mitamdaoni.. ujuzi ninao wa mengiiiiiiiiii..

Naandika kuburudika kivyangu humu mnanisingizia mie natumwa eeeeeh.. kumbe kuwa mdau mnakunikaaaaaa.. nondo zina wa 💉💉💉

Ningekuwa nao yaani mngelia humu.. maana ningekuwa nawavuta na kuwapa nondo hadi muite pooo kama viongozi wenu waliobaki kupiga kelele za kufikiri awamu hii watapewa bahasha za khaki na ufyoto wao wakudanganya wananchi kwa asilimia kubwa..
 
Back
Top Bottom