Kulikoni Mpakwa mafuta Britanicca, umehamia CHADEMA

Kulikoni Mpakwa mafuta Britanicca, umehamia CHADEMA

Inakuwaje wapinzani wakihamia CCM ni sahihi ila CCM wakienda upinzani inakuwa ni dosari? Kama tunajinasibu kuwa ni nchi ya demokrasia basi tuishi kidemokrasia kwa kuheshimu maamuzi binafsi.

Labda baadhi ya watu wanafananisha kuhamia ccm wanafanisha na kurudi Misri!
 
Back
Top Bottom