Kulikoni Mpakwa mafuta Britanicca, umehamia CHADEMA

Kulikoni Mpakwa mafuta Britanicca, umehamia CHADEMA

Brittanica mbona mchango yake ni constructive sana kwa mstakabali wa nchi yetu. Tuacheni uchama kwenye mambo ya msingi kwa taifa letu.
Yaan watu wananizungumzia hata ambayo hawajui, mi Ni Ccm sitatoka CCM na naunga mkono juhudi.zote za mkuu
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Huyu akihamia CHADEMA ni pigo kwa CCM mtandaoni, maana michango yake asilimia 30 angalau inakijenga chama chake,
Pili ni watu ambao CCM inawategemea mtandaoni
GENTAMYCINE
Troll JF
Trump2
faiza foxy
britanicca


Kuna muda akili huwajia na kutoa michango ya maana wanajua sana kucheza na jukwaa, wanatumwa kuleta nyuzi za ni trick watu kupima upepo,

Ila kuna mazuzu YEHODAYA ISIS jingalao hawa wamachefua Pascal Ndege
Umewasahau ndege JOHN na stroke kwenye list ya pili
 
Back
Top Bottom