Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Duh! Bongo hakuishi vituko kwa kweli! Hao waliofanya vetting kabla ya uteuzi hawakuliona hilo la kauli ya kibaguzi?
Kuna mambo yanafanyika nji hii ukimsimlia mtu wa nje anaweza kudhani ni stori au hadithi