Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,472
- 11,252
Tena kubwaDuhh kazi ipo
Hakuna anayetaka kuwa mwenyeji wa muuaji!Hali si nzuri Kwa mama Samia, Alipoingia madarakani Samia alikuja na kauli ya kuifungua nchi, alijaribu kurejesha taswira ya Tanzania kwenye mstari.
Alisafiri nchi za ulaya kama zote na Marekani. Alikalibishwa ikulu ya white house na kupokelewa na Kamala. Vice president Kalama alimtembelea Samia Dar es salaam. Kwakweli Samia aling'ara sana Kimataifa.
Sahivi Samia hasafiri Tena nje, haendi kwenye makongamano ya Kimataifa, akisafiri anaenda Msumbiji na Madagascar.
Ziara za Ulaya na Marekani zimekata kabisa.
Tunakutumia salamu Samia Ile zomea zomea uliyokutana nayo Marekani 2021, Hadi ukapitishwa uhani ilkuwa ni Cha mtoto, sahivi ukikanyaga Marekani, Uingereza,Canada na German utakipata Cha moto.
By the way mbona Samia amejitenga Kimataifa?
Mto wa mbu,
Illinois -USA
Eti Secretary Rubio, apoteze muda kumkalibisha huyo mrekodi video za utupu wakosoaji wakeHakuna anayetaka kuwa mwenyeji wa muuaji!
Ng'ombe wa mama
Iran,urusi,china na wajomba zake pamoja na mumewe jakaya wanampa matumaini alivyo mjingaHali si nzuri Kwa mama Samia, Alipoingia madarakani Samia alikuja na kauli ya kuifungua nchi, alijaribu kurejesha taswira ya Tanzania kwenye mstari.
Alisafiri nchi za ulaya kama zote na Marekani. Alikalibishwa ikulu ya white house na kupokelewa na Kamala. Vice president Kalama alimtembelea Samia Dar es salaam. Kwakweli Samia aling'ara sana Kimataifa.
Sahivi Samia hasafiri Tena nje, haendi kwenye makongamano ya Kimataifa, akisafiri anaenda Msumbiji na Madagascar.
Ziara za Ulaya na Marekani zimekata kabisa.
Tunakutumia salamu Samia Ile zomea zomea uliyokutana nayo Marekani 2021, Hadi ukapitishwa uhani ilkuwa ni Cha mtoto, sahivi ukikanyaga Marekani, Uingereza,Canada na German utakipata Cha moto.
By the way mbona Samia amejitenga Kimataifa?
Mto wa mbu,
Illinois -USA
Mkuu huku kuna uchaguzi. Pingine hujui kwani uko mbali.Hali si nzuri Kwa mama Samia, Alipoingia madarakani Samia alikuja na kauli ya kuifungua nchi, alijaribu kurejesha taswira ya Tanzania kwenye mstari.
Alisafiri nchi za ulaya kama zote na Marekani. Alikalibishwa ikulu ya white house na kupokelewa na Kamala. Vice president Kalama alimtembelea Samia Dar es salaam. Kwakweli Samia aling'ara sana Kimataifa.
Sahivi Samia hasafiri Tena nje, haendi kwenye makongamano ya Kimataifa, akisafiri anaenda Msumbiji na Madagascar.
Ziara za Ulaya na Marekani zimekata kabisa.
Tunakutumia salamu Samia Ile zomea zomea uliyokutana nayo Marekani 2021, Hadi ukapitishwa uhani ilkuwa ni Cha mtoto, sahivi ukikanyaga Marekani, Uingereza,Canada na German utakipata Cha moto.
By the way mbona Samia amejitenga Kimataifa?
Mto wa mbu,
Illinois -USA
Strong contender akiwa Salum MwalimuMkuu huku kuna uchaguzi. Pingine hujui kwani uko mbali.
Izo nchi ata msaada wa kibajeti wa $40m hawatoiIran,urusi,china na wajomba zake pamoja na mumewe jakaya wanampa matumaini alivyo mjinga
Chawa Lucas Mwashambwa tunaomba majibu. Au mama kaishiwa nauli?Hali si nzuri Kwa mama Samia, Alipoingia madarakani Samia alikuja na kauli ya kuifungua nchi, alijaribu kurejesha taswira ya Tanzania kwenye mstari.
Alisafiri nchi za ulaya kama zote na Marekani. Alikalibishwa ikulu ya white house na kupokelewa na Kamala. Vice president Kalama alimtembelea Samia Dar es salaam. Kwakweli Samia aling'ara sana Kimataifa.
Sahivi Samia hasafiri Tena nje, haendi kwenye makongamano ya Kimataifa, akisafiri anaenda Msumbiji na Madagascar.
Ziara za Ulaya na Marekani zimekata kabisa.
Tunakutumia salamu Samia Ile zomea zomea uliyokutana nayo Marekani 2021, Hadi ukapitishwa uhani ilkuwa ni Cha mtoto, sahivi ukikanyaga Marekani, Uingereza,Canada na German utakipata Cha moto.
By the way mbona Samia amejitenga Kimataifa?
Mto wa mbu,
Illinois -USA
Ooh kumbe kweli hakuna uchaguzi??
Uchaguzi utoke wapi? Sina mnasisitiza Oktoba MnatikiMkuu huku kuna uchaguzi. Pingine hujui kwani uko mbali.
Hivi ccm wanaweza kukubali kufanya debate?Strong contender akiwa Salum Mwalimu
HE, President Salum Mwalimu😡, hawezi mshinda hata the weakest incumbent President
Jikite kwenye hoja kwa kujibu alivyoulizwa
Ni maskini sana unahitaji msaada ?Izo nchi ata msaada wa kibajeti wa $40m hawatoi
Eti Secretary Rubio, apoteze muda kumkalibisha huyo mrekodi video za utupu wakosoaji wake