Kuhusu kwa nini msanii Been Man kutoka Jamaica atafanya onyesho lake kwenye uwanja wa chuo cha TTCL, labda ungetwambia wewe ulitegemea onyesho hilo lifanyike wapi na kwa nini unafikiri lilipashwa kufanyika hapo ulipopafikiria badala ya uwanja chuo cha TTCL.
Tiba