Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Habari za siku wana Jamii Forum? Mimi ni mdau ambaye nafuatilia tasnia ya burudani... Majuzi nimeshangazwa na habari kuwa Bendi ya Twanga haitafanya tena maonesho pale Leaders club na leo nimepata mshituko baada kupata habari ya onesho la msanii Been Man kutoka Jamaica litafanyika Uwanja wa Chuo cha TTCL KijitonyamaMwenye jibu kuwa nini kinaendelea atujuze