kula na kula tena

kuosha kijiko changu yes....lakini bakuli sijui linaoshaje ati
 
kuosha kijiko changu yes....lakini bakuli sijui linaoshaje ati

mmh we mbinafsi yakhe, wajioshea chako tu na nwenzio mlo kula nae wajifanya hujui kukosha bakuli lake??? jifunze wengine wapenda kukoshewa ati............
 
mmh we mbinafsi yakhe, wajioshea chako tu na nwenzio mlo kula nae wajifanya hujui kukosha bakuli lake??? jifunze wengine wapenda kukoshewa ati............
Noted with appreciation....naanza leo :)
 
Simple..,si unajua tena sahani ikikaa na uchafu utakaribisha nzi na wadudu wengine wasumbufu na kile chakula kushikamana na sahani, so ni vyema sahani ioshwe ili kuandaliwa kwa kupakuliwa upya.
 
Simple..,si unajua tena sahani ikikaa na uchafu utakaribisha nzi na wadudu wengine wasumbufu na kile chakula kushikamana na sahani, so ni vyema sahani ioshwe ili kuandaliwa kwa kupakuliwa upya.

kuna watu hawaoni shobo kurudia hiyo plate bila kuoshwa mradi tu ashibishe njaa yake
 
mzee mwanakijiji, mafumbo gani haya bana??? ukiona hutaki kuosha basi futa na taulo aaah!!
ila usafi wa sahani muhimu bana
 
Kula na kunawa kunaleta hali mpya na kasi mpya kwenye kula. Haswa ikiwa kunawa mwili mzima... au kuoga kabisa.
 
Inategemea pia kasi ya walaji. Wapo wengine wanakula kidogo kidogo, kwa hiyo inabidi arudie kula mara nyingi ndipo ashibe. Sasa hapo sijui utaosha mara ngapi. Yaani chakula kilekile anakula awamu 6 in one hour, wakati mwingine angekula kiasi hichohicho kwa awamu moja au labda mbili.
 
Mzee mwanakijiji si unajua unapokula lazima kwenye sanani utabakiza uchafu k.m. mifupa, miba za samaki, n.k. sasa kama utaendelea kupakua tena kwenye sahani chafu si unaweza kosa hamu ya kuendelea kula? ni vizuri kuosha vyombo then ukaendelea kula. after all, utapenda kuendelea kula baada ya muda kidogo utakapogundua kuwa kumbe hukushiba.
 
hahaha nimecheka nimefurahi ..Kijijini kwenu inabidi ipite elimu ya afya ipite
yale mafuta ukiendelea kuyatizama kwenye sahani hukinaisha na kupoteza hamu ya kuendelea kula na hasa kuku wa kijjijini kwenu nadhani ni kama wa kijijini kwetu wamenona hawatumii madawa kuongeza vitamini ..lakini wengine sie usafi ndio hulka nyanya yangu alinifundisha sahani shurti isafishwe ili chakula kingine kiwekwe..hii ni awamu nyingine ya chakula Mkjj
Kikombe lazima kioshwe ndo uji mwingine unyweke

Kuna walaji wengine hayo mafuta ya kwenye sahani huyaona kama appetizer na kupitisha vidole vyao na kulamba bakuli hadi likaonekana safi kabisa kabla ya kupakua chakula kingine na kuendelea kula mlo wao. Kuna mapishi mengine huwa ni ya hali ya juu hata mlaji hujishangaa amepata wapi appetite kubwa kiasi hicho. Na mapishi mengine mhhhhhh! hata kama una njaa kubwa unaweza kukinai chakula maana kinakuwa hakina ladha kabisa na hata ukianza na appetizer bado unakuwa huna hamu ya kula chakula hicho.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=AWpsOqh8q0M[/ame]
 
Back
Top Bottom