Mimi nadhani kama mtasubiri chakula kishuke kwanza ndipo mle tena, ni bora mkasafisha vyombo hata na tishu laini kama sio maji. Vinginevyo mvifunike kwanza ili wadudu kama bakteria wasiingie na kuvichafua.
Kwa wale ambao wana uwezo wa kula haraka haraka kama mimi, wanaweza kuendelea na mlo wa pili bila kusafisha! Hii inasaidia sana hasa kama mmoja anakuwa hajashiba vizuri.
Kwa wale ambao wana uwezo wa kula haraka haraka kama mimi, wanaweza kuendelea na mlo wa pili bila kusafisha! Hii inasaidia sana hasa kama mmoja anakuwa hajashiba vizuri.