Kula kwa urefu wa kamba yako

Kula kwa urefu wa kamba yako

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,172
Reaction score
48,687
Inasikitisha sana!

Mtu unajawa uzalendo mpaka unamwagika. Unakuja kuona wapumbavu wachache wanaihujumu nchi yao wenyewe kwa tamaa ya mali na fedha.

Ukijiangalia unajiona wewe ni kama tone la mvua linalopiga juu ya bahari. Unaamua tu nawe utafute mpenyo ule kwa urefu wa kamba yako.
 
Back
Top Bottom