King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,042
- 1,349
Pascal hivi wewe ni mzima kweli kichwani, Magufuri anakubalika dhidi ya nani? Chama chake kinakubalika dhidi ya nani? Kujipendekeza sawa Pascal ila muogope na Mungu.
Jee kuitoa huko CCM katika kuzomewa hadi kuonekana inanyanya paa wengine ni kwa nguvu ya ushawishi (ambao ndio wajibu wa siasa) au kwa nguvu za dola?Kuna kazi kubwa kafanya JPM, kuitoa CCM kutoka kuzomewa mpaka inakuja kuonekana inanyanyapaa vyama vingine.
Matokeo yake anaonekana anavionea vyama vingine, anatekeleza ilani kadri anavyoweza mengineyo ni upungufu wa kibinadamu.
Ukiwa mtu wa amani inayotoka moyoni hulazimiki kuishi kwa hofu.Jee kuitoa huko CCM katika kuzomewa hadi kuonekana inanyanya paa wengine ni kwa nguvu ya ushawishi (ambao ndio wajibu wa siasa) au kwa nguvu za dola?
Vipi hujui kuwa chama cha siasa hakitakiwi kupendwa kwa mtutu wa bunduki?
Hiyo ndiyo CCM ya sasa, ukimzomea tuu akakuona na kukuripoti polisi au ofisi ya chama basi ujue moto unao. Hapo hata kifo sio msamiati mgumu juu yako.
Sawasawa, jee CCM inayo amani itokayo moyoni au ile ya jambazi avaaye joho la utawa?Ukiwa mtu wa amani inayotoka moyoni hulazimiki kuishi kwa hofu.
"sasa sijui kama kule kutopiga kura kuchagua nako ndiko kukubalika kwenyewe..."
Andiko lako lote Ukweli upo hapa .
CCM ina miaka 42 pale magogoni wakati mwingine ukongwe wake hugeuka sababu ya kuonekana ni chama chenye maovu.Sawasawa, jee CCM inayo amani itokayo moyoni au ile ya jambazi avaaye joho la utawa?
Kinachomtesa ni kutumia jina lake halisi kwa hiyo inabidi awe mwangalifu. Na bahati mbaya ni kwamba hata akitumia fake ID bado uandishi wake utamsaliti, ni rahisi kujua kuwa ni yeye.Inahitaji akili kubwa kdg kumuelewa mtoa mada, kwa akili zako za darasa la saba usingeweza kuelewa kabsa,
Phillipo acha kuchengesha mambo. CCM ina miaka 58 pale Magogoni!CCM ina miaka 42 pale magogoni wakati mwingine ukongwe wake hugeuka sababu ya kuonekana ni chama chenye maovu.
Kumbuka maneno ya Marehemu Mugabe aliyoambiwa na Kikwete kuhusiana na wazungu kutaka kusikia hiki chama kimeondoka ikulu.
Wakati mwingine ule msukumo wa chama kuonekana kimepitwa na wakati huanzishwa nje ya nchi.
Naona unachagua picha za kuleta humu jukwaani.Phillipo acha kuchengesha mambo. CCM ina miaka 58 pale Magogoni!
Au wewe ukiwa na umriwako huo let's say 50 na ukabadili jina Leo kuitwa Chakaza ina maana mtu akikutana na wewe 2021 atasema una miaka miwili?
Ni 58 bwana, CCM ndiyo TANU ileile sema 1977 iliioa ASP na kuwa mwili mmoja.
Lakini bado kuna mambo unashangaa eti Leo hii bado yapoView attachment 1276311View attachment 1276313
Picha nzuri mie sina, na hizo nzuri sina shida nazo maana ni kutimiza wajibu wao.Naona unachagua picha za kuleta humu jukwaani.
Ziweke na zile za vivuko vinavyojengwa pamoja na zile za zahanati nyingi tu zilizokamilika.
Chakaza umenasa kwenye mtego ule ule wa kina Godlisten Malisa wa kuchagua picha za huzuni.