Vitu vingine kama huna majibu kaa kimya sio kuleta ujuaji.Waulize ccm au moshi wa mwenge nyamhongolo umewadhuru
Humuogopi boss umeanza wkend kabla ya ijumaa 🍻Waulize ccm au moshi wa mwenge nyamhongolo umewadhuru
Ukiwa JF kubaliana na vyoteVitu vingine kama huna majibu kaa kimya sio kuleta ujuaji.
Sawa nahisi hivyo mkuu maana nimewakuta chini ya mchungwa wamekufaKama walikuwa hawaumwi! Kutakuwa na mdudu/mnyama mwenye sumu kali sana kawapitia,,,, mathalan nyoka !
Usijaribu kuwashika kwa mkono vaa mfuko ama gloves,,,, !
Chimba shimo kama futi moja wafukie sehemu ambayo wanyama kama mbwa hawawezi fukua !
Akwendre ..juzi alikua anajitapa mwenge this mwenge that🚮Humuogopi boss umeanza wkend kabla ya ijumaa 🍻
Ndo nimesemaVitu vingine kama huna majibu kaa kimya sio kuleta ujuaji.
Kumbe hata species za kuku huzijui..hawa sio kienyeji .ni mixer hawa..Sio wakisasa ni kienyeji
Kumbe mdadaNdo nimesema
Tuliambiwa hili jukwaa ni la greater thinker😂Muite daktari awafanyie postmortem