Kuku Wa "Makange"

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,268
17,099
Watu wengi wanapenda ulaji wa kuku waliopikwa kwa staili hii pasi na kujua asili yake........

Marehemu Mzee Robert Makange (1928-1999) ndiye muasisi kwa kuwa mmiliki wa iliyokuwa Tropicana Bar pale Nkrumah Street. Hakika kuku wale wa Tropicana walikuwa watamu sana!

Pamoja na kuwa mjasiriamali Mzee Makange alikuwa mwanaharakati wa kutafuta Uhuru kwa kuwa mwandishi wa habari na alifungwa jela miezi 6 kwa kuandika habari za "uchochezi"- (sijui kama Werema anajua hili)!

Hapa(Kulia) akiwa na Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1985.

chiume-nyerere-makange.jpg
 
Watu wengi wanapenda ulaji wa kuku waliopikwa kwa staili hii pasi na kujua asili yake........

Marehemu Mzee Robert Makange (1928-1999) ndiye muasisi kwa kuwa mmiliki wa iliyokuwa Tropicana Bar pale Nkrumah Street. Hakika kuku wale wa Tropicana walikuwa watamu sana!

Pamoja na kuwa mjasiriamali Mzee Makange alikuwa mwanaharakati wa kutafuta Uhuru kwa kuwa mwandishi wa habari na alifungwa jela miezi 6 kwa kuandika habari za "uchochezi"- (sijui kama Werema anajua hili)!

Hapa(Kulia) akiwa na Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1985.

chiume-nyerere-makange.jpg

Hahahaa, naona mkuu umeshusha historia halafu ukasahau somo kuu! dah
 
Alafu wewe una makusudi. Awo kuku mm nkitua Dar tu lazima nijimuvuzishe break point nkawatafune. Sasa ushantamanisha.
 
Huyu Mzee Robert Makange alikuwa TISS na mpaka leo Nkrumah st. maeneo yale bado wapo. Yuko mzee mmoja ni mstaafu anaitwa Lesso mpaka leo kina Ighondu wanaenda pale. Na ndipo walipopangia mipango mingi ya kumkomesha Ully.
 
huyu mzee robert makange alikuwa tiss na mpaka leo nkrumah st. Maeneo yale bado wapo. Yuko mzee mmoja ni mstaafu anaitwa lesso mpaka leo kina ighondu wanaenda pale. Na ndipo walipopangia mipango mingi ya kumkomesha ully.
wenzio twafaid mikuku we watupeleka tiss,ngoja tumalize kula kwanza halafu ndo ututishe.
 
Back
Top Bottom