chief iddy
Member
- Jul 20, 2016
- 85
- 60
Habari wanajukwaa mimi ni mjasiriamali ambaye ninafuga kuku wa nyama na nataka kuanza kuuza pia sokoni hasa soko la Shekilango na kwenye restaurants.
Kulingana na majukumu imenipasa nitafute msaidizi wa kuuza kuku na kutafuta oda tutalipana kwa commissions yani kadiri anavyouza.
Niweke wazi kua sijawahi kuuza kuku sokoni nauzaga shambani tu, ila kulingana na changamoto za masoko na kukua kibiashara nataka kujitanua zaidi.
Napenda awe mtu mpambanaji na uchu wa mafanikio kwani kazi ya sales sio rahisi. Mwenye kuhitaji anitafute inbox. Natanguliza shukran
Kulingana na majukumu imenipasa nitafute msaidizi wa kuuza kuku na kutafuta oda tutalipana kwa commissions yani kadiri anavyouza.
Niweke wazi kua sijawahi kuuza kuku sokoni nauzaga shambani tu, ila kulingana na changamoto za masoko na kukua kibiashara nataka kujitanua zaidi.
Napenda awe mtu mpambanaji na uchu wa mafanikio kwani kazi ya sales sio rahisi. Mwenye kuhitaji anitafute inbox. Natanguliza shukran