Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 16,131
- 33,449
- Thread starter
- #41
Hahahaha kuku mwenyewe mzururaji hivyo lol.....umekuja tu hata maji hatujakupa ushakimbilia kwa majirani!
Kulikuwa na bonge la mwaliko wa hi sikukuu nikajikuta nimejumuika nasikitika hakukuwa na kilichobaki ningekuletea mambo ya pwani.