Kuku mwenye kamba mguuni

Kuku mwenye kamba mguuni

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
21,877
Reaction score
49,732
Habarini wana JF.
Kama kuku mgeni nahitaji kukaribiswha.
Shukrani za dhati ziwafikie
Wana jf.
 
Asante sana mkuu Globu
 
Hahahahaaaah!! sweetlady sasa ukimfunga kamba tena si ndio atakosa uhuru? Muache tu ajiachie......

Akijiachia sana na huu ugeni sio vizuri bana.......hapa hata hatujui katekwa na nani lol........wasimpeleke tu mabwepande tehe!
 
Ha ha ha haaah!! Nahisi wale wa Chit Chat watakuwa wamemteka tutampata tu aje afungwe kamba yake....

Hehehehe na kama ndio katekwa kule basi kumpata itakuwa vigumu sana lol........tushampoteza mgeni Katavi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom