Expert Judgement
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 442
- 718
Wasalaam ndugu zanguni
Kwa muda wa siku tano mfululizo nimetokewa na hali ya kumwaga mbegu za kiume usingizini pasipo kuota ndoto nyevu bali nikishtuka usingizini ( katika hali ya usingizi huo huo) nakuta zinatoka tena kwa mshindo mkubwa na zinakuwa nyingi. Najua wengine mtasema labda nakuwa na mawazo hayo ya ngono!
Hapana maana nipo kwenye maombolezo ya msiba wa marehemu mama aliyeaga dunia mwezi huu na ningali bado nipo nyumbani kwa mama kuweka mambo yake aliyoacha sawa.
Hali hi imenitisha mfano usiku wa leo nimepiga bao mbili.
Naombeni ushauri nahofia kumaliza mbegu maana zinatoka kama maji bombani.
UKIWEZA KUSHAURI KARIBU, UKIPENDA KUBEZA SIKUFUNGI NAZINGATIA UHURU WA KUTOA MAONI
cc mshana jr
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa muda wa siku tano mfululizo nimetokewa na hali ya kumwaga mbegu za kiume usingizini pasipo kuota ndoto nyevu bali nikishtuka usingizini ( katika hali ya usingizi huo huo) nakuta zinatoka tena kwa mshindo mkubwa na zinakuwa nyingi. Najua wengine mtasema labda nakuwa na mawazo hayo ya ngono!
Hapana maana nipo kwenye maombolezo ya msiba wa marehemu mama aliyeaga dunia mwezi huu na ningali bado nipo nyumbani kwa mama kuweka mambo yake aliyoacha sawa.
Hali hi imenitisha mfano usiku wa leo nimepiga bao mbili.
Naombeni ushauri nahofia kumaliza mbegu maana zinatoka kama maji bombani.
UKIWEZA KUSHAURI KARIBU, UKIPENDA KUBEZA SIKUFUNGI NAZINGATIA UHURU WA KUTOA MAONI
cc mshana jr
Sent using Jamii Forums mobile app