Kukojoa au kutoa mbegu za kiume usingizini nini tatizo?

Hii point Kama naikubali hivi.
Nasema naikubali kwa sababu iliwahi kunitokea kipindi nasoma sekondari Sasa tulikuwa kwenye kipindi Cha mitihani na siku hiyo tupo darasani tunafanya mtihani Kati ya physics au maths na msimamizi alikuwa ni binti mwanafunzi mwenzetu aliyetuzidi darasa moja.
Basi ule mtihani ulikuwa konki nikaumiza kichwa Sana Hadi nikajikuta napiga bao from nowhere yaani ilikuwa noma Sana maana suruali yote kwa mbele ilichafuka.
Ikanibidi baada ya mtihani kumalizika nikatoka kwa kuvizia ili asinione mtu yeyote kuwa nimechafuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaah yakwako ilikua Kali Sana ungeonekana ingekua fedhea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazingira gani umempoteza

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee ni natural death lakn kila siku hospital wanabaini ugonjwa mpya Leo unaambiwa Figo,kesho homa ya mapafu, mara homa ya uti was mgongo Sasa kiubinadam unashinda kuelewa tatizo hasa ninin hapo ndo utata Tena magonjwa yote ndan ya muda mfupi afu mgonjwa afya haijateteleka mwili wake uko vilevile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee ni natural death lakn kila siku hospital wanabaini ugonjwa mpya Leo unaambiwa Figo,kesho homa ya mapafu, mara homa ya uti was mgongo Sasa kiubinadam unashinda kuelewa tatizo hasa ninin hapo ndo utata Tena magonjwa yote ndan ya muda mfupi afu mgonjwa afya haijateteleka mwili wake uko vilevile

Sent using Jamii Forums mobile app
Alifariki Jmosi&Jpili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam ndugu zanguni

Kwa muda wa siku tano mfululizo nimetokewa na hali ya kumwaga mbegu za kiume usingizini pasipo kuota ndoto nyevu bali nikishtuka usingizini ( katika hali ya usingizi huo huo) nakuta zinatoka tena kwa mshindo mkubwa na zinakuwa nyingi. Najua wengine mtasema labda nakuwa na mawazo hayo ya ngono!

Hapana maana nipo kwenye maombolezo ya msiba wa marehemu mama aliyeaga dunia mwezi huu na ningali bado nipo nyumbani kwa mama kuweka mambo yake aliyoacha sawa.

Hali hi imenitisha mfano usiku wa leo nimepiga bao mbili.

Naombeni ushauri nahofia kumaliza mbegu maana zinatoka kama maji bombani.

UKIWEZA KUSHAURI KARIBU, UKIPENDA KUBEZA SIKUFUNGI NAZINGATIA UHURU WA KUTOA MAONI
cc mshana jr

Sent using Jamii Forums mobile app
Sema ukweli ushauriwe wewe wee sema kuna demu unamuwaza sana yaai kisaikolojia haita kaa itokee umelala bila kuota au kuwaza eti zitoke zenyewe. Yaani usipowaza demu unaweza ota hata unaendesha kitu kama baiskel au pikipiki na hapo hapo unajiskia uroda fulani zinamwagika zenyewe kabisa hadi unamwaliza.
Hiyo nyeto yenyewe usipomweka Kasie mtata mbele au@sky eclat veupe havitoki
 
Wasalaam ndugu zanguni

Kwa muda wa siku tano mfululizo nimetokewa na hali ya kumwaga mbegu za kiume usingizini pasipo kuota ndoto nyevu bali nikishtuka usingizini ( katika hali ya usingizi huo huo) nakuta zinatoka tena kwa mshindo mkubwa na zinakuwa nyingi. Najua wengine mtasema labda nakuwa na mawazo hayo ya ngono!

Hapana maana nipo kwenye maombolezo ya msiba wa marehemu mama aliyeaga dunia mwezi huu na ningali bado nipo nyumbani kwa mama kuweka mambo yake aliyoacha sawa.

Hali hi imenitisha mfano usiku wa leo nimepiga bao mbili.

Naombeni ushauri nahofia kumaliza mbegu maana zinatoka kama maji bombani.

UKIWEZA KUSHAURI KARIBU, UKIPENDA KUBEZA SIKUFUNGI NAZINGATIA UHURU WA KUTOA MAONI
cc mshana jr

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kuna kiumbe unakihudumia usiku. Wewe tuliza akili ujaribu kufuatilia. Ukikikamata usikionee huruma
 
Mkuu huyu jini kanitesa sana, usemayo hapo nikweli yaani anakufanya hata kama kuna kitu upo interested nacho unashangaa unakichukia yaani nijini mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Fanya umtoe mwilini mwako atakutia umasikini na kukufilisi kila kitu chako utakiuza na utakuwa masikini na kuchukiwa na watu na hata ndugu zako watakuchukia na kukuona eti siku hizi unaringa. Huyu ni Jini hatari sana hata kwa wanawake huwa anawaingia anakuwa ni jini dume kwa wanawake na kuwaharibia kizazi na mimba kuchoropoka bila ya sababu na kutosikia hamu ya tendo la ndoa na kuharibu mfumo wa mzunguko wa damu ya hedhi. Na kuwafanya Wanawake wawe ni wakali kwa waume zao na pia kutoshika mimba kwa wanawake na kuchelewa kuolewa ni kazi yake jini mahaba wa kiume kuwaharibu wanawake maisha yao.
 
Ulikua unafanya kazi gani, au ulikua unashinda namkeo ndani tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mfanyakazi wa bank kubwa tu. Ila ikifika saa ya mechi nyumbani si nilikuwa nayasahau mambo ya ofisini!! Nikianza mechi ni hizo goli 10 - 12 week ends. Ni dhambi kidume kumwambia mkeo ati, NImechoka sana leo au sijisikii kucheza mechi. Inamaana unataka achezwe.
 
Mkuu Fanya umtoe mwilini mwako atakutia umasikini na kukufilisi kila kitu chako utakiuza na utakuwa masikini na kuchukiwa na watu na hata ndugu zako watakuchukia na kukuona eti siku hizi unaringa. Huyu ni Jini hatari sana hata kwa wanawake huwa anawaingia anakuwa ni jini dume kwa wanawake na kuwaharibia kizazi na mimba kuchoropoka bila ya sababu na kutosikia hamu ya tendo la ndoa na kuharibu mfumo wa mzunguko wa damu ya hedhi. Na kuwafanya Wanawake wawe ni wakali kwa waume zao na pia kutoshika mimba kwa wanawake na kuchelewa kuolewa ni kazi yake jini mahaba wa kiume kuwaharibu wanawake maisha yao.
Kwa bahati nzuri nilimuhangaikia mpaka akawa hana nguvu sana ila kwasasa naona anarudi kupima ramani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom