Kukithiri kwa wizi mkubwa wa mabilioni na matrilioni nchini; Ipi nafasi ya TISS kuzuia matukio haya?

HORSE POWER

JF-Expert Member
Feb 22, 2015
2,077
1,392
Habari wanaJF.

Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.

Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.

Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.

Karibuni tuelimishane.
 
Habari wanaJF.
Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.
Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.Karibuni tuelimishane.
Mmmmmhhhh TISS?
 
Habari wanaJF.
Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.
Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.Karibuni tuelimishane.
Huko TISS kwenyewe ndio baadhi ya upigaji unaanzia. TISS ya kizalendo ilikua mwisho awamu ya nyerere. Siku hizi inatumika zaodi kupeana michongo.
 
Habari wanaJF.
Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.
Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.Karibuni tuelimishane.
SAA 100 NDIYO JIZI KUU HIVYO AWEZI KUTHUBUTU KUWANYOOSHEA VIDOLE WEZI WAKE
 
Kila kitu nchi hii kimeoza!
Kila mwenye madaraka ni mwizi ktk eneo lake!
Awamu hii hakuna wa kumkemea mwingine kwani kila mmoja ana mapembe!
Takukukuru wenyewe sio ile takukuru ya miaka ya nyuma!
 
Habari wanaJF.

Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.

Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.

Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.

Karibuni tuelimishane.
TISS hii iliyojaa vilaza toka uvccm wanachoweza ni kuratibu wizi wa kura,kuteka na kuua wapinzani ili CCM iendelee kutawala.
 
Habari wanaJF.

Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.

Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.

Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.

Karibuni tuelimishane.
Unataka majambazi ndiyo wafanye kazi ya kuzuia wezi?
 
Habari wanaJF.

Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.

Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.

Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.

Karibuni tuelimishane.
TISS watafanya nini kwenye ma deal yanayobarikiwa mpaka na marais?

Katika ma deal yote uliyoyataja hapo juu, hakuna hata moja ambalo limepita bila baraka za rais aliyekuwa madarakani, na deal nyingine kama EPA rais aliyekuwa madarakani, Benjamin Mkapa, mpaka kaandika kwenye kitabu kwamba alilipitisha.

Umesoma kitabu cha Benjamin Mkapa "My Life, My Purpose: A Tanzanian President Remembers" ?

Sasa hapo kibongobongo unategemea TISS wafanye nini kwenye deal lililopitishwa na rais?

Sanasana na wao wataona kupiga ni kitu kilichohalalishwa na wakubwa, na wataachia kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake kama alivyosema rais Samia.
 
Habari wanaJF.

Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.

Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.

Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.

Karibuni tuelimishane.
TISS kimsingi wana kazi mbili kubwa mosi ni kupoteza wote wanaoikosoa serikali na mbili ni kuvimba mitaani kula bure kwenye mahotel makubwa kisha kutoa kitambulisho "unanijua mimi ni nani ?!" Imeisha hiyo mengine hayawahusu.
 
Back
Top Bottom