HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,077
- 1,392
Habari wanaJF.
Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.
Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.
Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.
Karibuni tuelimishane.
Kwa wafuatiliaji wa mambo nchini,matukio ya wizi wa mabilioni ya pesa nchini sio jambo la ajabu.Tunasema ni wizi kwa sababu mazingira yenyewe yamejaa ukakasi na hata Serikali imeshindwa kutoa majibu yenye mashiko.
Kwa mfano EPA,IPTL,MEREMETA,NDEGE MBOVU YA RAIS,RADA MKWECHE,ESCROW n.k. Haya matukio mpaka leo 'yameishia hewani'.
Sasa nilitaka kupata elimu kwa wajuzi wa masuala ya kiusalama nafasi ya Idara nyeti ya TISS katika kuzuia matukio haya na pia nataka kujua ni kwa namna gani wizi wa namna hii si hatarishi kwa usalama wa Taifa.
Karibuni tuelimishane.