Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,761
- 2,311
Nani analala nje ww acha upimbi punda weweUmeshiba Amani.
Kumbuka wanaume wanalala nje, wanakufa ili Nchi ibaki salama
Usifanye utani na amani
Nani analala nje ww acha upimbi punda weweUmeshiba Amani.
Kumbuka wanaume wanalala nje, wanakufa ili Nchi ibaki salama
Usifanye utani na amani
Hao wanaume waliokufa nje watakua walifumaniwa. Kipigo cha mgoni nomaUmeshiba Amani.
Kumbuka wanaume wanalala nje, wanakufa ili Nchi ibaki salama
Usifanye utani na amani
Una uhakika UN wanaweza kufanya kazi ya kumlinda Mgombea wa siasa wa nchi fulani?.Ni kweli kuwa UN wameamua kumuongezea ulinzi Lissu?
Una uhakika UN wanaweza kufanya kazi ya kumlinda Mgombea wa siasa wa nchi fulani?.Ni kweli kuwa UN wameamua kumuongezea ulinzi Lissu?
Kama hali ya ulinzi iko mashakani, angeweza pia kuomba hifadhi Ubalozi wa nchi yeyote mpaka baada ya uchaguzi.Una uhakika UN wanaweza kufanya kazi ya kumlinda Mgombea wa siasa wa nchi fulani?.
...
Who cares, huyo shoga anasubiriwa maana ameondoka kwa mabwana zake siku nyingi.Ni kweli kuwa UN wameamua kumuongezea ulinzi Lissu?
Nani anaua?Kama Ni kwa ajili ya Amani, kwa nini wanaua sasa?
Wenye kutambua hili wachache Sana. Walibahatika walau kusikia BM zikiunguruma huwa tunasikitika sana mtu anayeisemea kejeli amani.Umeshiba Amani.
Kumbuka wanaume wanalala nje, wanakufa ili Nchi ibaki salama
Usifanye utani na amani
We ulizaliwa kwenye Vita? Zezeta kweli weweNyie watoto wadogo
Hamjui thamani ya amani, Kwasababu mmezaliwa kwenye amani
Hata mwaka 1960 kulikuwa na Amani lakini wazee wakaamua kufanya yao kwa kutafuta UhuruTunza amani iliyopo,
Tunza amani iliyopo
Tunza amani iliyopo
Dhulma kwenye kivuli cha AmaniWenye kutambua hili wachache Sana. Walibahatika walau kusikia BM zikiunguruma huwa tunasikitika sana mtu anayeisemea kejeli amani.
Sina maana hiyo mkuu. Nafikiri kuna njia sahihi kabisa na bora zinazoweza kufanywa na jamii inayohitaji mabadiliko chanya kuliko kuhubiri uvunjifu wa amani kwa kuiaminisha jamii vitu hasi.Dhulma kwenye kivuli cha Amani
Hongera sana
Ukijibiwa niiteNi kweli kuwa UN wameamua kumuongezea ulinzi Lissu?
Msikilize kwa makini huyu Bibi!Nyie watoto wadogo
Hamjui thamani ya amani, Kwasababu mmezaliwa kwenye amani
ukifikiria unaweza kucheka walivyo wapumbavu,Star TV wajinga sana
Walipoona BBC inaanza rusha Habari ya Mauaji Pemba wakakata matangazo
Wamerudisha baada ya habari hiy kuisha.
Ivi hawa BBC hawana mikataba ???
NDIYO.Ni kweli kuwa UN wameamua kumuongezea ulinzi Lissu?
Tunu lazima itunzwe, tena wakae kwa kutulia. Tii sheria bila shurti.Tunza amani iliyopo,
Tunza amani iliyopo
Tunza amani iliyopo
hao mliowaua huko zanzibar ni wanyama au ...na mitandao mmezimaNani ameua ?