Kama Ni kwa ajili ya Amani, kwa nini wanaua sasa?Amani ya Tanzania ndio kipaumbele mbele namba moja, namba mbili na namba tatu
Nyie watoto mmezaliwa kwenye amani hadi mmeikinai
Kama Ni kwa ajili ya Amani, kwa nini wanaua sasa?Amani ya Tanzania ndio kipaumbele mbele namba moja, namba mbili na namba tatu
Nyie watoto mmezaliwa kwenye amani hadi mmeikinai
Kama Ni kwa ajili ya Amani, kwa nini wanaua sasa?
Nadhani TXRA walihusika paleStar TV wajinga sana
Walipoona BBC inaanza rusha Habari ya Mauaji Pemba wakakata matangazo
Wamerudisha baada ya habari hiy kuisha.
Ivi hawa BBC hawana mikataba ???
UN wanapiga kura?!Ni kweli kuwa UN wameamua kumiongezea ulinzi Lissu?
Ulinzi unaingiliana vipi na kura!UN wanapiga kura?!
Sasa wanamlinda kwa ajili ya nini?Ulinzi unaingiliana vipi na kura!
Kama mmeweza kuzima mitandao ya kijamii mnaweza kufanya lolote katika kipindi hiki.Sasa wanamlinda kwa ajili ya nini?
Mtandao upi?Tutaipata BBC kweny mtandao, uzuri hawawez kushindan na teknolojia
Anayekudhulumu ulichokilipia kwa hela zako huyo anataka amani na wewe?Umeshiba Amani.
Kumbuka wanaume wanalala nje, wanakufa ili Nchi ibaki salama
Usifanye utani na amani
Jipatilize basi na jielewe,acha domo kaya.Nani ameua ?
Mikataba wakati wao wenyewe wanataka airtime..........wanafanyiwa kama feva tu kwanzaStar TV wajinga sana
Walipoona BBC inaanza rusha Habari ya Mauaji Pemba wakakata matangazo
Wamerudisha baada ya habari hiy kuisha.
Ivi hawa BBC hawana mikataba ???
Ikatwe na hii ukoswe sehemu ya kupost ujinga wako huuTunza amani iliyopo,
Tunza amani iliyopo
Tunza amani iliyopo
Nahisi wameshapewa semina elekezi... penye habari zinazohusu ukweli wa kinachoendelea nchini wasikirushe hewani...je kulikuwa na sababu gani kuikatiza ile habari kutoka BBC? mm mwenyewe nlikuwa nafwatilia matangazo ya BBC dira ya dunia kupitia Chanel ya Star TV... Mara baada ya kidokezo cha ile habari ya Zanzibar kuanza wakakata... why?Leo naandika kwani niko kimya sana lakini Star TV hawapendi hoja ya Pemba isikike pia ITV waliikata Aljazera
Haya ni maelekezo ya nani?
Maana now si facebook wala youtube
Ahsante serikali
Naomba sana Mungu iwe hivyoNi kweli kuwa UN wameamua kumuongezea ulinzi Lissu?
Huyu mataga anaejiita bia yetu ni kilaza wa kiwango cha chato..Ikatwe na hii ukoswe sehemu ya kupost ujinga wako huu