Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,765
- 5,275
usisite kusema...sema wanaweza hata KUUAKama mmeweza kuzima mitandao ya kijamii mnaweza kufanya lolote katika kipindi hiki.
usisite kusema...sema wanaweza hata KUUAKama mmeweza kuzima mitandao ya kijamii mnaweza kufanya lolote katika kipindi hiki.
vyema sana kama haya matukio yameshakua reportedLisu kasema wamesharipoti icc sasa wanakusanya ushahidi hivyo wanabania kaupenyo kakumourn mauaji
Dogo you need to grow up. Hakuna Mtanzania aliyewahi kuikosa amani tofauti na mkageraNyie watoto wadogo
Hamjui thamani ya amani, Kwasababu mmezaliwa kwenye amani
Chakula ya lumumbaAmani ya Tanzania ndio kipaumbele mbele namba moja, namba mbili na namba tatu
Nyie watoto mmezaliwa kwenye amani hadi mmeikinai
Dogo you need to grow up. Hakuna Mtanzania aliyewahi kuikosa amani tofauti na mkagera
HakiNyie watoto wadogo
Hamjui thamani ya amani, Kwasababu mmezaliwa kwenye amani
Anayekudhulumu ulichokilipia kwa hela zako huyo anataka amani na wewe?
hao mliowaua huko zanzibar ni wanyama au ...na mitandao mmezima
narudia kusema matokeo yake mtayaona kwenye sanduku la kura ..mwaka huu Mungu atainua mkono wake na hakika Lissu anaenda kukaa kwenye kiti cha urais
Acha ujingaLeo naandika kwani niko kimya sana lakini Star TV hawapendi hoja ya Pemba isikike pia ITV waliikata Aljazera
Haya ni maelekezo ya nani?
Maana now si facebook wala youtube
Ahsante serikali
Maji na barabaraUmedhulumiwa nini?