Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,621
- Thread starter
-
- #221
Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.Kifupi, Lowassa ni mtu mwenye KASHFA nzito nzito za uongozi ambazo anatakiwa kusimamishwa na hata kushtakiwa. Mbali na hilo ni mtu anayetaka uongozi by any means necessary! Kiongozi huchaguliwa na watu sio haki ya mtu. Hatakiwi mtu wa aina hii kupewa uongozi atakuwa na kisasi, ni wa kuogopwa kama Ukoma!..Mimi nilikuwa mwanachama wa CCM toka mwaka 1973, ni watu kama yeye waloniondoa imani na chama hicho...
Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.
Kama kuna nia ya dhati ya upinzani kuingia ikulu, Lowassa is the mean and the way!, na pia ili litimie lile neno la Mwalimu, upinzani wa kweli, utatoka CCM!, tena kama ni kweli Lowassa ata cross, hata watu kama sisi, ambao sikuzote tumekuwa hatuna vyama, tuta reconsider our stands kuisaidia Chadema kuipiga chini CCM!, tena hili likitokea, hata hao CUF wakileta zile zao za kuleta, kulazimisha mgombea wa UKAWA lazima awe yule mgombea wao wa kudumu kwenye urais wa muungano, ni kuachana nao, wakwende zao, Mwamba wa Kaskazini, ukitinga Chadema, Chadema inachukua nchi asubuhi na mapema!, hata mimi nitatafuta jimbo!.
Kwenye vita, ili uweze kushinda vita, sometimes unaweza hata kulazimika ku join forces na adui yako against a common enemy, kisha mta sort out diferences zenu, baada ya ushindi!.
Tena jamaa akikross, tutailazimisha Chadema kuitagrate na ACT ndani ya UKAWA, au kwa tutamshinikiza ZZK na ACT yake wa bow down, au Chadema itoe msamaha wa bila masharti, ZZK ai disband ACT na kuirudisha ndani ya Chadema, with a united front ya opposition, hili dubwana CCM, linakwenda chini jumla!.
Pasco
Mkuu Mp Kalix2, nayatafakari maneno haya kwa kina!.
Pasco
Quotes by Martin Luther King, Jr.
One who breaks an unjust law that conscience tells him is unjust, and who willingly accepts the penalty of imprisonment in order to arouse the conscience of the community over its injustice, is in reality expressing the highest respect for law.
Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.
Our lives begin to end the day we become silent about things that matter.
Like an unchecked cancer, hate corrodes the personality and eats away its vital unity. Hate destroys a man's sense of values and his objectivity. It causes him to describe the beautiful as ugly and the ugly as beautiful, and to confuse the true with the false and the false with the true.
Occasionally in life there are those moments of unutterable fulfillment which cannot be completely explained by those symbols called words. Their meanings can only be articulated by the inaudible language of the heart.
A nation or civilization that continues to produce soft-minded men purchases its own spiritual death on the installment plan.
In the end, we will remember not the words of our enemies, but the silence of our friends.
Faith is taking the first step even when you don't see the whole staircase.
Law and order exist for the purpose of establishing justice and when they fail in this purpose they become the dangerously structured dams that block the flow of social progress.
Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity.
Duh hii Kemia yako mkuu haitumikii kwa binadamu, sisi tuna akili za kufikiri na Unafiki ambao unaweza toa results tofauti kabisa. Kama ulivyosema, Lipumba, Dr.Slaa na Lowassa wote hawamuwezi Magufuli kwa sababu Magufuli yupo na chama kubwa. Chama ndicho kinampelekea mtu IKULU sio nguvu ya Mtandao na ndio maana nikasema maadam UKAWA sio chama basi hakuna atakaye ishinda CCM..Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.
Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.
Pasco
Aisee!!!Pasco ungepumzika for now
sioni kama una make sense anymore
kila ulichotuambia huko nyuma kimeenda the opposite
labda sasa ungenyamaza kwanza.......ni kama vile nyinyi wapambe wa mgombea
mna kiu na urais kuliko mgombea mwenyewe
Wanabodi,
CC ya CCM, imefanya kazi yake, imelikata jina la kipenzi cha wengi, Edward Ngoyai Lowassa!.
Jee kukatwa huku ndio mwisho wa ile safari ya matumaini, au ndio mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini, kwa kipenzi cha watu, kuanza rasmi safari ya ukombozi wa kweli wa pili wa Mtanzania, kwa kuipeleka rasmi CCM kaburini?
Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliwahi kusema, upinzani wa kweli, utatoka CCM. Jee hiki ndio kipindi cha upinzani huu?
Kwa miaka 50 sasa, Watanzania tumelogwa na jinamizi la CCM kiasi cha kuamini mgombea wa CCM ndie automatically atakuwa rais wa Tanzania!. Wanaopiga kura sio CCM bali ni Watanzania!. Kama Lowassa ndie chaguo la watu, CCM wakaamua kumkata, jee sisi ambao ndio watu, tumchukue Lowassa, kupitia chama kingine chochote tumuingize ikulu?
Jee Lowassa tuliombatiza jina la mwamba, ataliishi hilo jina la mwamba kwa kuonyesha umwamba wake kwa kutokubali kuchinjwa na kufanywa mbuzi wa shughuli, au lile jina la mwamba, tulimpachika tuu, ila in reality kumbe sii mwamba lolote wala chochote, bali ni kichuguu tuu?.
Mimi bado ni muumini wa andiko hili lisemalo "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni!", jee Watanzania tuendelee kuwatumainia hawa waashi wa CCM kuamua hatma yetu na taifa letu, au tumchukue mtu wetu na kusindikiza ikulu nje ya CCM?
Nauliza tena, jee huu ndio mwisho wa safari, au mwanzo wa safari ya kweli ya matumaini kwanza kwa kuingoa CCM na kuikomboa Tanzania?!.
Japo CCM ni chama kikubwa, kikongwe, na chenye nguvu, mbele ya Lowassa CCM ni chepesi kama unyoya, akipuliza tuu kinapeperuka, na hizo nguvu CCM inazojivunia, mbele ya Lowassa ni kama uzi wa utando wa buibui, ukigusa tuu umekatika!.
Wapenzi, wafuasi, na mashabiki wa Lowassa, wanachosubiri sasa ni aseme neno moja tuu na roho zao zitapoa!, akiamua kukubali matokeo kuwa kukatwa kwake ndio mwisho wa safari, na akubali na aseme wazi, "Eloi Eloi, Yemekwisha!", na kama hajakubali, atamke wazi kuianza ile safari ya ukombozi wa pili wa Mtanzania, dhidi ya mkoloni mchwa CCM, aliyelitafuna taifa letu kwa miaka 50, na akitamka tuu!, "CCM Basi!", huo ndio utakuwa mwisho wa hili zimwi linaloitwa CCM!, CCM itakuwa ni bye bye jumla, kaburini forever!, kwa sababu kazi kubwa ya kwanza ya serikali mpya, itakuwa ni kuzitaifisha mali zote za umma CCM iliyozipora na kuzipata kwa njia dhalimu kwa kuzipora toka kwa Watanzania katika kipindi cha utawala wake, na kujimilikisha kujifanya ni mali zake, yakiwemo majengo yake yote!. CCM ikiishakuwa haina kitu, hiyo sio CCM tena bali itageuka CCM mfu na tutaizika rasmi kaburini!.
Lowassa sema....
Sema usiogope sema!.
Linasubiriwa Neno tuu!.
Pasco!
lowassa ni kweli ananguvu kubwa ya kuitikisa ccm lkn tujiulize wakina lowassa wangap walikua ccm wakahamia chama kingine stl ccm ikamove on bila kutetereka????nnavojua ccm ni zaidi ya lowassa na tusijidanganye kwa style hii ya ukawa kuchukua walioshndwa ccm kuwa malaika kwao hatutafika,inaonekana dhahiri kuwa wenyewe kama wenyewe hawawezi kutuongoza bila kumpata mtu wa ccm yaani ccm kama ndo chuo chao cha kupata watu bora at the same time wanakiponda....tuwaeleweje wapo upande gan au ndo uchu wa madaraka???
Ndio kashaingia Chadema sasa,leo ufurahi kidogo,Pasco,mzee wa john mtembezi
Mkuu, Mkandara, acha hizo, kama umesoma kemia unaelewa kitu kinachoitwa catalyst, kinahitajika ku speed up the chemical reaction na sio part ya required end products, siku zote nawasisitiza watu humu, tuwe wakeli toka ndani ya nafsi zetu, Prof. Lipumba au Dr. Slaa, hakuna anayemuweza Magufuli, in fact hata Lowass as Lowassa, hamuwezi Magufuli, bali Lowassa na the people behind him, akihamia UKAWA, na akawa ndie mgombea wa UKAWA, CCM inapigwa chini kama kumsukuma mlevi!.
Kama kuna nia ya dhati ya upinzani kuingia ikulu, Lowassa is the mean and the way!, na pia ili litimie lile neno la Mwalimu, upinzani wa kweli, utatoka CCM!, tena kama ni kweli Lowassa ata cross, hata watu kama sisi, ambao sikuzote tumekuwa hatuna vyama, tuta reconsider our stands kuisaidia Chadema kuipiga chini CCM!, tena hili likitokea, hata hao CUF wakileta zile zao za kuleta, kulazimisha mgombea wa UKAWA lazima awe yule mgombea wao wa kudumu kwenye urais wa muungano, ni kuachana nao, wakwende zao, Mwamba wa Kaskazini, ukitinga Chadema, Chadema inachukua nchi asubuhi na mapema!, hata mimi nitatafuta jimbo!.
Kwenye vita, ili uweze kushinda vita, sometimes unaweza hata kulazimika ku join forces na adui yako against a common enemy, kisha mta sort out diferences zenu, baada ya ushindi!.
Tena jamaa akikross, tutailazimisha Chadema kuitagrate na ACT ndani ya UKAWA, au kwa tutamshinikiza ZZK na ACT yake wa bow down, au Chadema itoe msamaha wa bila masharti, ZZK ai disband ACT na kuirudisha ndani ya Chadema, with a united front ya opposition, hili dubwana CCM, linakwenda chini jumla!.
Pasco
Mkuu umenikumbusha Joni Mtembezi, nilianza kutembea kwa hatua ndogo ndogo kwa mwendo wa pole, safari ya kuzunguka na Joni Mtembezi mkubwa hunichukua hata mwezi mzima!, lakini siku hizi speed ya kutembea naye imeongezeka kwa ma mahatua makubwa makubwa na ya mwendo wa haraka hivyo safari inanichukua wiki tuu!, hali iliyopelekea wife kuanza ku mind, hivyo Joni Mtembezi nimemwacha counter ya pale sitting room kwangu (Rombo), ili kuzuia ghubu home!.Ndio kashaingia Chadema sasa,leo ufurahi kidogo,Pasco,mzee wa john mtembezi
Sema kipenzi cha wapenda pesa. Kama kipenz cha wengi mbona huko cc wamemfyeka?
Kwenye vita, ili uweze kushinda vita, sometimes unaweza hata kulazimika ku join forces na adui yako against a common enemy, kisha mta sort out diferences zenu, baada ya ushindi!.
Pasco
Kama una ndoto za kufunguliwa kesi za EPA, Richmond kipindi kabla ya uchaguzi sahau, hata wakilazimisha atakayechafuka zaidi ni Kikwete na hata kama ana kinga ni rais gani anayependa kuishi maisha ya kesi?Pasco,
haya hayawi hayawi yamekuwa, sasa nasema hivi kumchinja kuku unamwelekeza Kibla unamkanyaga mbawa zake na kupanda shingo lake kisha unapitisha kisu watu wakiangalia na wengine wakishangilia, hivyo ndivyo kifo cha Lowassa na UKAWA..
Kuna watu wamenambia ili kumwondoa CCm tunahitaji mikakati kama ya Kenya lakini UKAWA hawakufanya hivyo wala Kibaki hakuwa maarufu kuliko Kenyatta wakati ule ila UMOJA wao ndio ulokuwa na nguvu zaidi ya KANU..Nqa kisha basi Umoja wa Kenya uliuondwa na undi la wanaharakati walotaka magewuzi dhidi ya MAFISADFI leo nyie mnachukua MAFISADI dhidi ya CCM ambayo ina nguvu kuliko nyie.. Hamuwezi kupata mageuzi kwa njia hiyo nawahakikishia kabisa CCM chama kubwa Lowassa na kundi ake ni wachumia tumbo rahisi sana kubomolewa.
Kwanza wataanza na yeye kisiasa wakishindwa, mwanaye ana scandal ya nyumba London inaweza ibuliwa, kesi ya EPA na Richmond zinaweza ibuliwa upya hata akisema JK ndiye mwenye mzigo (wewe ulihusika vipi?) itabidi asimamishwe yeye kugombea. JK ni rais ana kinga hata akisha achia ngazi wala hagombei tena. Kesi inapikwa mahakamani KWISHA kazi!. Muda wa Uchaguzi umekwisha..
Peingine nyie ndio hamumumfahamu Lowassa, maana CCM wanamfahamu zaidi yenu mkimsoma katika magazeti tu, na wamemwaga. Kama angekuwa na nguvu hizo wasingethubutu ila walijua yote haya mapema sana na watu wake walitishiwa toka zamani kuwa akikosa Urais CCM atahamia CDM na bado CCM wamlimwaga - huwezi kufikiria hapo tu?Kama una ndoto za kufunguliwa kesi za EPA, Richmond kipindi kabla ya uchaguzi sahau, hata wakilazimisha atakayechafuka zaidi ni Kikwete na hata kama ana kinga ni rais gani anayependa kuishi maisha ya kesi?
Ya KANU na NARIC tuwaachie wakenya tujikite na yetu ya UKAWA na Lowassa.
Kwa wasiomfahamu EL wanaweza kufikiri kaanza leo kuusaka urais, EL amejipanga kwa takriban miaka 20 ana resources zote watu, ukwasi, mbinu njema na ovu nk..bila kusahau kuwa timu yake ndiyo iliyofanikisha uchakachuaji wa 2005 na 2010.
EL ana watu hadi ndani ya usalama kwenyewe issue zote na mauchafu ya viongozi wengi anayajua ndiyo maana kaamua Ku cross line bila hofu, nani aanze kumtupia madongo? watabaki kina Makonda na Nape wasiojua lakini the big fish hutowasikia.