Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,365
- 5,088
Ww kama sio manzi basi kapimwe akili maana sio Kwa mood swing hizo.
sijakutukana utani tu usimaindi kama nimekukwaza nisamehe mkuu sio serious kama unavyohisi nakuzngua tu mkuuJiulize kwanini unaniita Mchawi?
JIULIZE MJANJA M1 KUNA KITU ANAFAIDIKA KUWA HUMU?
Jiulize, Jiulize, Jiulize.
Kuna mtu jana PM aliniambia kuwa JF ndio ulimwengu wenyewe, nikiweza kuishi humu vizuri basi sitoshindwa kuishi popote.
ASANTE KWA MATUSI YAKO NA MUNGU AKUBARIKI SANA.
..upo sawa na siku zote ipo hivyo!Habari zenu,
Kuanzia sasa sitojibu mtu anaeniuliza "Wewe jana si uliaga, inakuaje bado upo".
Ukiniuliza swali hilo nakuhesabu kuwa wewe ni Hater, na mimi Mjanja M1 huwa sijibu ma-hater.
Huu ni mtandao wa Tajiri Max, yeye ndio mtu pekee anapaswa kuniuliza hilo swali kwasababu namjazia Server zake.
KAMA UNAJIJUA WEWE SIO TAJIRI MAX AU HAUNA UNDUGU NA TAJIRI MAX BASI KAA KIMYA.
Uzi Tayari.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Kuala Lumpur Malaysia
Ulikuwa vizuri sana,ulibeba heshima...ila umeamua kuvua gamba na kuonyesha uhalisia.Please,stop it my bro,mwanaume kamili sikuzote hawi na misuto au maneno mengi.plzUPENDO HUSHINDA CHUKI...
Nipo hapa JF kuinteract na watu, naheshimu kila mtu.Ulikuwa vizuri sana,ulibeba heshima...ila umeamua kuvua gamba na kuonyesha uhalisia.Please,stop it my bro,mwanaume kamili sikuzote hawi na misuto au maneno mengi.plz
Sawa,asante sananakupa pole sana.
Mwanangu una busara sanaMi mshamba, we mjanja zijakuzidi chochote😂
Punguza tu kuweka mabandiko yasiyo na ulazima, halafu utani, matusi mbona kawaida mitandaoni, punguza hasira.
Unawaaaaza mambo madogo.
Wewe jamaa natamani nijue umri wako inaonekana upo kwenye 17 mpaka 21Habari zenu,
Kuanzia sasa sitojibu mtu anaeniuliza "Wewe jana si uliaga, inakuaje bado upo".
Ukiniuliza swali hilo nakuhesabu kuwa wewe ni Hater, na mimi Mjanja M1 huwa sijibu ma-hater.
Huu ni mtandao wa Tajiri Max, yeye ndio mtu pekee anapaswa kuniuliza hilo swali kwasababu namjazia Server zake.
KAMA UNAJIJUA WEWE SIO TAJIRI MAX AU HAUNA UNDUGU NA TAJIRI MAX BASI KAA KIMYA.
Uzi Tayari.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Kuala Lumpur Malaysia 🇲🇾
Mkuu nini tena, 🤔🤔Habari zenu,
Kuanzia sasa sitojibu mtu anaeniuliza "Wewe jana si uliaga, inakuaje bado upo".
Ukiniuliza swali hilo nakuhesabu kuwa wewe ni Hater, na mimi Mjanja M1 huwa sijibu ma-hater.
Huu ni mtandao wa Tajiri Max, yeye ndio mtu pekee anapaswa kuniuliza hilo swali kwasababu namjazia Server zake.
KAMA UNAJIJUA WEWE SIO TAJIRI MAX AU HAUNA UNDUGU NA TAJIRI MAX BASI KAA KIMYA.
Uzi Tayari.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Kuala Lumpur Malaysia 🇲🇾
Sijui ame gombana na nani tena.Ulikuja vizuri sana.
Umeanza kuleta mambo ya ajabu.
Utapuuzwa.