Mlume Ndago
Member
- Jul 28, 2025
- 41
- 53
Habari wapendwa wa jamiiforums,
Naomba kuwauliza kwa mwenye kufahamu kuhusu application ya Telegram.
Zamani nilikuwa natumia hii Application bila shida yoyote lakini nikaja kuifuta.
Sasa kwa siku hizi za usoni kila nikijaribu kujiunga inaniambia nilipie elfu tatu (Tsh 3,000)
Sijajua ni utaratibu wao mpya na ni kwa kila mtu au kwangu tu?
Ni hayo tu
Naomba kuwauliza kwa mwenye kufahamu kuhusu application ya Telegram.
Zamani nilikuwa natumia hii Application bila shida yoyote lakini nikaja kuifuta.
Sasa kwa siku hizi za usoni kila nikijaribu kujiunga inaniambia nilipie elfu tatu (Tsh 3,000)
Sijajua ni utaratibu wao mpya na ni kwa kila mtu au kwangu tu?
Ni hayo tu