mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,842
Hizo toilet paper . mkiwauliza uwa mnazitupa wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
hv mnaotumia maji,naomba niwaulze hv ule ubichi ubichi/yale maji maji ambao hubakia kati kat ya mattercore huwa mnayakausha vp???
sku moja npo Tanga bahat mbaya eneo nlilopo hakukuwa na toilet pepa asee nlikuwa nakaa hata sku 3 bila choo
nlijitahd kujizoesha maji lakn baada ya kurud nyumban nkarud kwny toilet pepa zangu kama kawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app