Kujisafisha kwa "toilet paper" dhidi ya maji tiririka chooni, kipi ni sahihi kwa afya?

Hizo toilet paper . mkiwauliza uwa mnazitupa wapi?
hv mnaotumia maji,naomba niwaulze hv ule ubichi ubichi/yale maji maji ambao hubakia kati kat ya mattercore huwa mnayakausha vp???

sku moja npo Tanga bahat mbaya eneo nlilopo hakukuwa na toilet pepa asee nlikuwa nakaa hata sku 3 bila choo

nlijitahd kujizoesha maji lakn baada ya kurud nyumban nkarud kwny toilet pepa zangu kama kawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi mambo zinategemea tamaduni mtu alizokuzwa. Kuna sehemu wanatushangaa sana kurithi tamaduni za waarabu. Maji ndio huleta usafi kamili, tissue hapana kabisa. Imagine vidume tulivyo na nywele za makalio halafu unachúkua tissue kujifuta, huwezi kuwa msafi hata kidogo.

Majority ya watu wa southern Africa hawanawi maji, wanatushangaa sana tunaotumia maji kujiswafi.

Ila tunao tumia maji, bado tuna shika kinyesi wakati wa kunawa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Katika kipindi hiki cha mripuko wa ugonjwa wa Corona nimeshuhudia familia nyingi hasa za nchi za ulaya na marekani wakinunua kiasi cha toilet paper kwa wingi sana, na imeonekana kama bidhaa muhimu.

Binafsi niliamini hicho kifaa siyo muhimu watu wangehakikisa maji ya kutosha yapo vyooni mwao, na sidhani kwa kutumia toilet paper kujisafisha ni sahihi zaidi dhidi ya maji.

Je, matumizi ya toilet paper ni sahihi zaidi katika kujisafisha baada ya kumaliza haja zako chooni kuliko maji?

toilet-paper-roll-16.9-scaled.jpg
 
Chukua kitu chochote kipake girisi au oil halafu safisha kwa karatasi,jaribu kuangalia result baada ya kufanya hivyo

Halafu chukua Kitu hicho ulicho paka girisi au oil safisha kwa maji,Halafu angalia Matokeo yake..

Upata jawabu..

Kwaa wale WAISLAM wa kweli yaani wanasali Sala tano kwa siku huu ugonjwa.tabu.sana kuwapata..

Kwa muono wangu dini ya kiislam inafundisha waumini wake kuwa nadhifu sana kuliko dini site tulizokuwa na hapa duniani
 
Inategemea umepata makuzu gani kama unezaliwa sehemu ambapo maji hutumia basi unazoea hivyo kwa wale waliozaliwa sehemu wanapotumia tissue.
Kwa mfano mi nimekuwa natumia magazeti yaani choooni kuna magazeti ba madaftari ya zamani ndio wotetunatumia ila baada ya kuja advance nikakutana na maji aisee mwanzoni niliteseka nikawa nahisi kabsa haya majimaji yanayobaki hayana mavituz kweli ila kwa sasa ninezoea ila mkoani bado ni magazeti na hata wakija kunisalimu mjini wanakutana na tissue paper.

Sent using myLG leon

Mdau wapi magazeti na daftari ndiyo unastanji nayo.
Huu utamaduni unaendana na dini pia, km wewe muislam maji hayawezi kukosa chooni.
 
hv mnaotumia maji,naomba niwaulze hv ule ubichi ubichi/yale maji maji ambao hubakia kati kat ya mattercore huwa mnayakausha vp???

sku moja npo Tanga bahat mbaya eneo nlilopo hakukuwa na toilet pepa asee nlikuwa nakaa hata sku 3 bila choo

nlijitahd kujizoesha maji lakn baada ya kurud nyumban nkarud kwny toilet pepa zangu kama kawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ubichi bichi wa maji kwenye matako sio kero kwa jinsi tulivyoumbwa,unakula.wenyewe

Issue iko kwenye kusafisha hiyo sehemu kwa karatasi inakuwa haisafishiki vizuri,

watu wengi wanaosafisha hiyo sehemu kwa karatasi chupi huwa zinachafuka,uchavu uuwa unabaki kwenye chupi baada ya kusafisha..

Kusafisha kwa maji halafu ukakausha kwa Karatasi kuondoa ubichi bichi ndio njia Bora zaidi,hata wazungu wanawafundisha watu wao wafanye hivyo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom