Kujisafisha kwa "toilet paper" dhidi ya maji tiririka chooni, kipi ni sahihi kwa afya?

Entreprenuare

JF-Expert Member
Aug 24, 2019
1,616
1,714
Wakuu mambo vipi?

Nina swali fupi, naomba mnisaidie

Hivi kati ya mtu anaye tumia maji kutawaza baada ya haja kubwa na mtu anaye tumia toilet paper, nani anakuwa katika hali ya usafi zaidi??

Binafsi natumia maji, sijawahi tumia toilet paper, sasa nawaza siku nimeingia sehem nimekuta toilet paper alafu hakuna maji kabisa, nahisi itakuwa kisanga kidogo , maana nahisi K yangu nitaiacha na Nnya kama ilivyo kwenye vyoo vya kukaa kwa watu wengine





Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ilinikuta hiyo Zambia, Zimbabwe!

Labda uende hoteli kubwa ama za waislamu.

Eee kujibu swali, kwa upande wangu maji + sabubi ni bora zaidi kuliko karatasi.

Changamoto iliyopo utunzwaji wa maji ya chooni kibongobongo ni tabu tupu

Kuna jamaa walichukuwa sampuli za maji ya kwenye ndoo za chooni na kupima maabara wakakutana na E-Coli

_
Corona itarekebisha kidogo suala la usafi.

James Jason
 
Maji ndio husafisha, sio toilet paper ambazo huwa umepunguza tu mzigo wa uchafu, mfano mdogo sahivi kutokana na hili janga liloingia tunatakiwa sana kunawa mikono, inamaana hata kama utatumia toilet paper kunawa kuko pale pale!

ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ
 
Toilet paper wanatumia Sana wazungu...ukiingia hotel kubwa Kama Regency, Serena, new Africa hotel huwez kuta koki ya maji chooni. Mm huwa natumia kwa kuitanguliza kwenye kitundu, au kuitandaza kwenye sehem ya kukalia kabla sijaanza shughuli yangu.
 
Inategemea umepata makuzu gani kama unezaliwa sehemu ambapo maji hutumia basi unazoea hivyo kwa wale waliozaliwa sehemu wanapotumia tissue.
Kwa mfano mi nimekuwa natumia magazeti yaani choooni kuna magazeti ba madaftari ya zamani ndio wotetunatumia ila baada ya kuja advance nikakutana na maji aisee mwanzoni niliteseka nikawa nahisi kabsa haya majimaji yanayobaki hayana mavituz kweli ila kwa sasa ninezoea ila mkoani bado ni magazeti na hata wakija kunisalimu mjini wanakutana na tissue paper.

Sent using myLG leon
 
hv mnaotumia maji,naomba niwaulze hv ule ubichi ubichi/yale maji maji ambao hubakia kati kat ya mattercore huwa mnayakausha vp???

sku moja npo Tanga bahat mbaya eneo nlilopo hakukuwa na toilet pepa asee nlikuwa nakaa hata sku 3 bila choo

nlijitahd kujizoesha maji lakn baada ya kurud nyumban nkarud kwny toilet pepa zangu kama kawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hv mnaotumia maji,naomba niwaulze hv ule ubichi ubichi/yale maji maji ambao hubakia kati kat ya mattercore huwa mnayakausha vp???

sku moja npo Tanga bahat mbaya eneo nlilopo hakukuwa na toilet pepa asee nlikuwa nakaa hata sku 3 bila choo

nlijitahd kujizoesha maji lakn baada ya kurud nyumban nkarud kwny toilet pepa zangu kama kawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maji ni sahihi, ila lazima uwe na kitu cha kujikaushia. Mfano TP au wipes.
Lasivo ukivaa na ule unyevu unyevu, lasivo utawashwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nahisi ukitumia toilet paper peke yake, lazima baadhi ya kinyesi kitabaki kwenye K, kwahyo kutakuwa na kiharufu fulan hiv.





Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Utakuwa ni mtu wa ajabu kama utatumia maji mabaki ya kwenye ndo kutawazia unachukua kopo suuza kinga mengine kwenye koki na kopo lako kama unajua hayatoki kabla ya kunya usitumue hicho choo kabisa

Yale maji yanayobak kwenye ndo sio mazuri
Ilinikuta hiyo Zambia, Zimbabwe!

Labda uende hoteli kubwa ama za waislamu.

Eee kujibu swali, kwa upande wangu maji + sabubi ni bora zaidi kuliko karatasi.

Changamoto iliyopo utunzwaji wa maji ya chooni kibongobongo ni tabu tupu

Kuna jamaa walichukuwa sampuli za maji ya kwenye ndoo za chooni na kupima maabara wakakutana na E-Coli

_
Corona itarekebisha kidogo suala la usafi.

James Jason

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea umepata makuzu gani kama unezaliwa sehemu ambapo maji hutumia basi unazoea hivyo kwa wale waliozaliwa sehemu wanapotumia tissue.
Kwa mfano mi nimekuwa natumia magazeti yaani choooni kuna magazeti ba madaftari ya zamani ndio wotetunatumia ila baada ya kuja advance nikakutana na maji aisee mwanzoni niliteseka nikawa nahisi kabsa haya majimaji yanayobaki hayana mavituz kweli ila kwa sasa ninezoea ila mkoani bado ni magazeti na hata wakija kunisalimu mjini wanakutana na tissue paper.

Sent using myLG leon
magazeti na madaftari yaloisha,umenikumbusha mbali sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom