Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,556
- 4,169
Ni muda mrefu nimesikia english course ya huyu jamaa na kanuni zake from America.
Kila siku amekuwa ana change matangazo na offer za ajabu ajabu, I mean hana specific price mara lipa leo tu,mara wateja 20 wa Dar tu.
.
Nani anajua huduma ya huyu jamaa na English anayofundisha anatumia uwezo gani?
Kila siku amekuwa ana change matangazo na offer za ajabu ajabu, I mean hana specific price mara lipa leo tu,mara wateja 20 wa Dar tu.
.
Nani anajua huduma ya huyu jamaa na English anayofundisha anatumia uwezo gani?