Kujifunza kiingereza kwa Rasi Simba

Kujifunza kiingereza kwa Rasi Simba

Ok9

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2013
Posts
4,556
Reaction score
4,169
Ni muda mrefu nimesikia english course ya huyu jamaa na kanuni zake from America.

Kila siku amekuwa ana change matangazo na offer za ajabu ajabu, I mean hana specific price mara lipa leo tu,mara wateja 20 wa Dar tu.
.
Nani anajua huduma ya huyu jamaa na English anayofundisha anatumia uwezo gani?
 
Ni kanjanja fulani hivi,ukitaka kujuwa wanafunzi wake wanapenda kuchanganya kiswanglish.
 
kanuni za kujua lugha yoyote ni mazoezi ya kuongea.kanuni nyingine usanii
 
jamn hakuna mwf wake humu.....?
 
Muulize Juma Nature anasoma english course wapi.....siku hizi anatema yai balaa
 
Huyo jamaa ni muhuni sana,alafu anakula jani hatari,niliwahi kupata safari ya kwenda Serbia kikazi mwaka 2006 nikaamua nitafute english coz ili kujipiga msasa,bcoz jamaa alikua jilani na kitaani kwangu(airport) nikaamua kumtokea,cha kushangaa nilipofika ofisini nilipokelewa na teja.Yani ata form za kujiunga na chuo hawakua nazo na sikumkuta mwanafunzi ata1 na ada was 300,000 kwa 45days.Nikaona ni usanii mtupu nikatimka.
 
Huyo jamaa ni muhuni sana,alafu anakula jani hatari,niliwahi kupata safari ya kwenda Serbia kikazi mwaka 2006 nikaamua nitafute english coz ili kujipiga msasa,bcoz jamaa alikua jilani na kitaani kwangu(airport) nikaamua kumtokea,cha kushangaa nilipofika ofisini nilipokelewa na teja.Yani ata form za kujiunga na chuo hawakua nazo na sikumkuta mwanafunzi ata1 na ada was 300,000 kwa 45days.Nikaona ni usanii mtupu nikatimka.

kama anakula jani safi sana maana amejua ugonjwa wa wabongo wengi ni kingereza!
 
Kuna mtua anasema ameishia STD V11 humu Shy land ni miongoni mwa wanafunzi wake.
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyo jamaa havutagi bangi kweli, maana nackia ma ras huwa wanapiga marjuana ni balas
 
Back
Top Bottom