Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
Wakuu polen na majukumu!kuna kijana wangu kapata div3 ya points 17 PCB,ana E ya BIOLOGY na zingine kapata S.sasa kwa hapo anaweza kusoma kitu gani ili baadae ajiendeleze na degree ya udaktari?nawasilisha