Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,377
- 2,041
lijumba likubwa halafu unalala kwenye chumba kimoja tu sasa lina faida.Wivu tu. Nani kasema kujenga nyumba kubwa kumepitwa na wakati??
lijumba likubwa halafu unalala kwenye chumba kimoja tu sasa lina faida.Wivu tu. Nani kasema kujenga nyumba kubwa kumepitwa na wakati??
...umenena vyema Mkuu. Kwa mfano Mimi in lazima jumba langu uwanja Wa Basketball ambao pia utaweza kutumika pia kwa Tennis na Badminton in lazima uwepo!!Umeongea vyema kabisa.
Wengi wenye mijumba mikubwa wana zaidi ya vyumba huko ndani.
Kuna swimming pool, garage, movie theatre, sports arcade, bathrooms za kutosha, studio ya kurekodia, ofisi, library, walk in closets, kitchens za kutosha, living rooms za kutosha.
Sio kila mtu anapenda kujibana kwenye 3 bedrooms.
Sio dogo..tena ndugu wa mwanamke..wanakera kweliHili ni tatizo sana
Na kuwafukuza huwezi, utaweka familia kwny migogoroSio dogo..tena ndugu wa mwanamke..wanakera kweli
HakikaHakunaga umoja kwenye familia za ngozi nyeusi.na hii husababishwa na wazazi kupendelea mmoja
Teh teh teh...'ungekuwa emeshajenga'! Mkuu kwani mnafahamiana?Kinachobadilika ni matumizi. Structure ?umekariri chumba cha kulala ni square,library au gym haiwezi kuwa square. Kama ushajenga ungenielewa. Kuna stage ya nyumba ukiwa unajenga ukiwa na MTU inabidi umuambie hapa ni jiko,library,bedroom etc kwasababu haviko kama nyinyi mlivyokariri
Chumba cha nguo, chumba cha viatu, chumba cha soxy, chumba cha kuvalia!Pesa ikiwepo nyumba yangu ikikosa vyumba 20 basi itakua na vyumba 30
yani nizaliwe kwenye nyumba ya vyumba vi 4 namimi nije ishi kwenye nyumba hiyo
nizaliwe nguo naweka kabatini,namimi niendeleze huo umaskini Hapana BIG NO
umaskini mwisho kwangu nimesema,vizazi vyangu kuanzia wanangu lazima waishi tofauti
Chumba cha nguo
Chumba cha viatu
Chumba cha mafuta
Chumba cha movie
Chumba cha maombi
Chumba cha story
Chumba cha library
Chumba changu
yani nina list ya vyumba vya muhimu vingi sana,nasema hiviiiii mawazo yangu yatabaki kama mawazo only if "ntabaki kuwa maskini"
ila nikishika pesa nawambia hivii mimi sijengi nyumba ya kichoyo kabisa nishasemaga,Afe refa afe kipa wafe wachezaji
Mpira lazima uchezwe dk 90 na mshndi apatikane,Msinchanganye.
tuombe uzima mkuu,si rahisi kunielewa naongelea kitu ya aina gani.Chumba cha nguo, chumba cha viatu, chumba cha soxy, chumba cha kuvalia!
Mateso yote hayo ya nini kutawanya activities zenye kufanana?
Tusiseme sana, tupige wote magoti tukuombee umri mrefu 80+.
Utakuwa unasahau hata chumba cha kuvalia kilipo! Tuombe uzima.
hapana aisee, vyumba ni vikubwa ngoja nitaangalia dimensions za kwenye ramani then ntaziletaKama ni mkoani basi bangalore hilo kimjinimjini hp tuvyumba tunabanana banana km guest!
vipi tena ajabu??Doh!
shoppers kivipi??inabidi uwe kauzu,mgeni akija umamuuliza unakaa siku ngapi,baada ya hapo akizidisha unamtimuaUkiwatimua wanakuja wengine si unajumba kubwa...yaan utashindwa kuwapeleka watoto shoppers au sehem nzur waone dunia inafananaje...
View attachment 1273865
Una familia ya watoto wanne, umefanikiwa kimaisha watoto wanasoma na unajenga nyumba ya ghorofa vyumba 12 vya kulala.
Kwanza gharama za ujenzi ni kubwa, baada ya ujenzi kutunza nyumba ya vyumba 12 ni gharama kubwa sana. Hata ukiwa na mawazo ya familia kukutana watoto wanne wenye mafanikio si mara nyingi watakuwa nyumbani.
Nyumba ya vyumba vinne mpaka sita inatosha, pembeni unaweza kuweka houseboy quarter na guest wing.
Ukiwa mzee wewe na mke wako au mume wako kuishi kwenye nyumba ya vyumba 12 wakati watoto wote wana miji yao nayo ni gharama,
Nimekusikia mkuu , itabidi hiki kijumba changu cha ghorofa 4 nihame nikifanyie mipango mingine , yaani uzi huu ni kama nimetungiwa mimi !View attachment 1273865
Una familia ya watoto wanne, umefanikiwa kimaisha watoto wanasoma na unajenga nyumba ya ghorofa vyumba 12 vya kulala.
Kwanza gharama za ujenzi ni kubwa, baada ya ujenzi kutunza nyumba ya vyumba 12 ni gharama kubwa sana. Hata ukiwa na mawazo ya familia kukutana watoto wanne wenye mafanikio si mara nyingi watakuwa nyumbani.
Nyumba ya vyumba vinne mpaka sita inatosha, pembeni unaweza kuweka houseboy quarter na guest wing.
Ukiwa mzee wewe na mke wako au mume wako kuishi kwenye nyumba ya vyumba 12 wakati watoto wote wana miji yao nayo ni gharama,
Kasome tena, hata kwenye vitabu vya Mungu kuna mfalme Suleimani alijengaWatu tuliotokea kwenye umaskini (hasa wa africa) huwa tuna shida sana......mara nyingi huwa tunadhamini sana mali kuliko kitu kingine lakini pia tunapenda vitu vitakavyotuonyesha kwenye jamii.......yaani kujenga nyumba ya vyumba vitatu mtu anawaza hivi na uprofesa wangu wote watu wataniona je?........wakati huo huo wazazi ama jamaa zake wa karibu wanaishi kwenye nyumba za udongo kijijini hata kama hawaishi kwenye nyumba za udongo lakin maisha yao unakuta ni duni mno..... there are so many things we could do kwenye investments zikasaidia vizazi na vizazi.....tatizo letu ni exposure na umaskini
Uwanja wa mpira ni 5000sqm. Mkuu nyumba yako 9000sqm ni kama viwanja viwili vya mpira(au kimoja juu na chini)?!!