Kujenga na kumiliki nyumba ya kuishi ni muhimu kwa watu wa kipato cha chini?

Changamoto tunayokutana nayo kutoka kwenye nyumba za kupanga kwa vyovyote vile kipao mbele changu kitakuwa ni kujenga kwangu.
 
Hahaha kama nimekosea unanichana tu sio unanisifia uongo hapa. Upo sahihi kamesa na maelezo yako yana-make alot of sense ila mimi kipaumbele changu ni makazi kwa kweli maana nikiangalia kodi inavyonipaga stress hapana kwa kweli. Unapata kadili kadogo unapata kahela badala ufikirie vitu vya maana unamfikiria mwenye nyumba, kodi huwa inaniuma mimi utadhani nampa ya bure
Tafuta hela mpaka uone hio Kodi ni ndogo. Au hamia kwenye nyumba ambayo Kodi haikuumizi kichwa. Itakuwa ngumu kujenga huku umepanga sehemu ambayo Kodi yake sio size yako. Yaani inakukamua.
 
Watu wanajenga nyumba kusevu cost za rent halafu wewe unasema ni liability kwa sababu unaihudumia, niambie hizo gharama za kuihudumia nyumba ni kiasi gani kwa mwaka hadi iizidi rent unayolipa kwa landlord...
Yes kwa sasa uihudumii , ila kumbuka hicho kitu ambacho ukihudumii in account ni sehemu ya your net worth, but your net worth have to be reevaluated over the time because of depreciation.

Na kama uihudumii it at risk any time soon or later, kwa rejea ya mtoa post, sababu nyumba yako sio part of revenue na with time utakua unatoa some amount to keep it at optimal position.

lazima utakua una diduct some aboumt from your revenue for it.

Ndio nyumba ni Asset ila nilijibu kwa kutumia context ya post rejea.
 
Tafuta hela mpaka uone hio Kodi ni ndogo. Au hamia kwenye nyumba ambayo Kodi haikuumizi kichwa. Itakuwa ngumu kujenga huku umepanga sehemu ambayo Kodi yake sio size yako. Yaani inakukamua.
Hela natafuta pacha ila hazionekani. Kuhusu nyumba ya kodi ndogo zaidI ya hii maana yake nikapange room isiyo na umeme nadhani ndio itakuwa chini ya hapa nilipo. Wewe ni mtu mzimw nina hakika umeelewa.

Ninaposema kodi inaniumiza ukadhani nalipa milioni teh..pacha bwana
 
Watanzania wengi wanaokaa kwao haimaanishi wana raha, wengi bado ni omba omba na tegemezi kwenye hizo nyumba zao.
Ni baba na mama wenye nyumba ambao ni mafukara!
Pia jifunze tofauti ya rent na tax.
Wewe ndio unatakiwa uelewe unaposoma.. nimesema kodi yoyote inaumiza regardless iwe house rent au income tax
 
Mkuu nyumba sio swala la kipaumbele tu,, ila ni hitaji muhimu la kila binadamu.

Muhimu nafikiri ni kuzingatia hali uliyonayo kwa wakati huo na kama inakuwezesha kujenga huku mambo mengine yanaendelea basi ni vyema ukajenga na uwe na kwako.. Ila kujenga huku unalala njaa hio sishauri sana.

Watu wenye vipato vidogo kujenga kunawahusu pia ila ni kwa taratibu saaaana. Wengi humu wazazi wao walikuwa na vipato vidogo lakini wamekuwa na kuishi kwenye nyumba zao.

Yote yanawezekana, Ni kuangalia wakati sahihi na maamuzi sahihi
 
Mkuu nyumba sio swala la kipaumbele tu,, ila ni hitaji muhimu la kila binadamu.

Muhimu nafikiri ni kuzingatia hali uliyonayo kwa wakati huo na kama inakuwezesha kujenga huku mambo mengine yanaendelea basi ni vyema ukajenga na uwe na kwako.. Ila kujenga huku unalala njaa hio sishauri sana...
Hitaji la muhimu la binadamu ni makazi bora.
Yanaweza kuwa ya kujenga yeye mwenyewe au kupangisha.
 
Biashara ni kipaji na ni hobby pia.

Mimi binafsi nikifanya biashara,siwezi pata kiu ya soda halafu mezani kuna buku naiangalia.

Unawezaona ni kwa namna gani biashara sio fani yangu.

Kingine inabidi tushukuru wafanyakazi wa aina hiyo,maana wanawapisha wasio wafanyakazi nao waishi kupitia biashara, vinginevyo itakuwa ni urafi na roho za ubinafsi.
dah we jamaa ni noma sana.
 
Nimeanza ujenzi kijana mwenzenu....ila gharama zinazonitoka hadi nnapata second thoughts ....hatari, pure definition ya pesa makaratasi
 
kwa mwenye familia wew jenga tu maake na hii kolona ukikata moto familia una ipa mzigo wa kupanga mzee maana ata ukiacha biashara inakua ni danadana ya ndugu tu inabaki mzee wao alkua na pesa
 
kwa mwenye familia wew jenga tu maake na hii kolona ukikata moto familia una ipa mzigo wa kupanga mzee maana ata ukiacha biashara inakua ni danadana ya ndugu tu inabaki mzee wao alkua na pesa
Yaani katika kitu ninachokihofia ni kuondoka hapa duniani halafu familia nimeiacha kwenye nyumba ya kupanga, binti yangu anaweza kuishia magetoni kwa wahuni
 
kwa mwenye familia wew jenga tu maake na hii kolona ukikata moto familia una ipa mzigo wa kupanga mzee maana ata ukiacha biashara inakua ni danadana ya ndugu tu inabaki mzee wao alkua na pesa
Ni woga kwa kwenda mbele...
 
Back
Top Bottom