Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,524
- 5,857
Cost saving is also a gain, kama unalipa rent ya 300,000 kwa mwezi ukiwa na nyumba yako hiyo gharama haitakuwepo. Naunga mkono wazo la kufanya biashara kwanza lkn napingana na mnaosema nyumba ni liability, sio kweli.Asset mean take in and liability mean take out! Unawezaje ku gain pesa wakati unaishi nyumba isiyokuingizia chochote?