Kuitwa Training TAESA

Kuitwa Training TAESA

Jamani Mimi nilishafanya interview taesa , Sasa karibia mwezi sijapata kinachoendela
Je huwa inachukua mda gani ukifanya interview ili wakupange kituo?
 
Jamani Mimi nilishafanya interview taesa , Sasa karibia mwezi sijapata kinachoendela
Je huwa inachukua mda gani ukifanya interview ili wakupange kituo?
Mpaka kazi husika ulichosomea ipatikane, isipopatikana ndo hvy tena unaona kimya. Ww hapo endelea kufanya mambo yako
 
Oooh! Nadhani kulitokea tatizo, anyway, kipindi hicho nawafuata TAESA sikubahatika kukutana na mtu aliyekua na elimu level ya certificate (hii ni kwa wale niliofanikiwa ku'connect nao) ila wale wa diploma niliingia nao hadi kwenye internship. Kikubwa kama una certificate we beba vyeti vyako original fika pale. Ukikataliwa basi mapambano yaendelee
Mkuu hii inawahusu level zote ,nikimaanisha certificate,diploma na degree?
Ni kuanzia diploma, certificate kushuka chini hawahitaji. Niliwahi kuhudhuria training na kuna mmoja alikuwa na certificate akaambiwa hawachukui watu hao.
 
Hivi tofauti ya training na interview ya hapo Taesa huwa ni nini ?
Training ni kufundishwa jinc ya kujibu maswali ya interview na mambo mengine yanayohusu usaili, Interview ndo maswali yenyewe unapigwa nayo usoni 😁
 
Huyu mpayungu simwelewi kila sehem yupo malizia story ya kidagaa ndugu
 
Hawatoagi ajira Hawa japo wanatoa internship
 
Back
Top Bottom