Kuitwa Training TAESA

Kuitwa Training TAESA

SAWA hebu nipe maelezo kesho naenda.


Ukifika pale unawaambiaje ?

na lazima niwe na barakoa ?
Cheki comments za nyuma kidogo hapo maelekezo yooote ya namba ya kufika yametolewa, usisahau kubeba vyeti vyako original
 
Cheki comments za nyuma kidogo hapo maelekezo yooote ya namba ya kufika yametolewa, usisahau kubeba vyeti vyako original


SAWA ASANTE MKUU


ILA UKIONA MATAGAZO YA MECHANICAL ENGINEERING TECHNICIAN nijuze mzeee
 
SAWA hebu nipe maelezo kesho naenda.


Ukifika pale unawaambiaje ?

na lazima niwe na barakoa ?
Ukifika pale unasalamia then unasema kuwa nimekuja kujiandikisha kwa ajili ya internship watakuuliza vyeti original wakiona watakupa fomu ujaze
 
Nilio bahatika kufanya nao internship kupitia Taesa tulisaini miezi sita na muda ukaisha wakarudi mtaani wote ila nilijitahidi nimekaa mwezi mmoja tu nikasoma mchezo nika omba ajira sehemu mbali mbali nikaenda interview nikabahatika kupita, hata wewe ukienda usikae bure kama umefika omba sehemu mbali mbali ukiitwa nenda uache uoga wa kuomba ruhusa
 
Asante mkuu hii nimetuma leo
Ila mkuu ungeenda manual pale kuna form flani ukifika unapewa unajaza then unaverify vyeti vyako then unaenda kwa mtu wa IT anakusajil then unapewa control number ambayo ndo utapangiwa lini ukafanye training na interview sasa sijui kama huko online hivyo vitu vyote vinafanyika
 
Ila mkuu ungeenda manual pale kuna form flani ukifika unapewa unajaza then unaverify vyeti vyako then unaenda kwa mtu wa IT anakusajil then unapewa control number ambayo ndo utapangiwa lini ukafanye training na interview sasa sijui kama huko online hivyo vitu vyote vinafanyika
Sasa hv n online, mm nmejisajili lakini cjaona hayo mambo ya control number na mwezi sasa umepita sijapata feedback yoyote ile kutoka kwao sasa cjui kuna mahali nmekosea au vp
 
Nachowapenda taesa,
ukituma email wanaijibu sio kama mashirika mengine.
 
Back
Top Bottom